Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mikakati ya kupambana na ugaidi Australia

Waziri mkuu wa Australia Tony Abbot ametangaza mikakati mipya ya kupambana na ugaidi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Australia kuchunguzi Ugaidi

Uchunguzi mpya umeanzishwa rasmi nchini Australia katika mji wa Sydney kutokana na shambulio la kigaidi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufaransa na mikakati dhidi ya Ugaidi

Ufaransa imesema imedhamiria kutokomeza makundi ya wapiganaji wa Kiislam, kufuatia shambulio la Kigaidi la mwishoni mwa juma.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Australia

Polisi nchini Australia wamewakamata wanaume watano kufuatia oparesheni ya kupambana na ugaidi kwenye mji wa Melbourne.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mvulana akiri mashtaka ya ugaidi Australia

Mvulana wa umri wa miaka 17 aliyekamatwa na polisi mjini Melbourne mwezi Mei mwaka huu, amekiri mashtaka yanayohusiana na ugaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mikakati kupambana na wahamiaji haramu

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kuongeza zaidi fungu la fedha katika operesheni kudhibiti wahamiaji haramu, barani Ulaya.

 

11 years ago

BBCSwahili

WHO yasaka mikakati kupambana na Ebola

Wataalamu wa maswala ya Afya ulimwenguni kutoka WHO wanakutana kujadili hatua mpya za kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.

 

11 years ago

Michuzi

POLISI NA MIKAKATI YA KUPAMBANA NA RUSHWA

Maafisa na Askari Polisi hapa nchini  wametakiwa badili tabia zao kwa kujiepusha na vitendo vya kudai na kupokea rushwa kutoka kwa watu wenye Matatizo yanayohitaji huduma za kipolisi.   Hayo yameelezwa na Mkuu wa Kitengo Ufuatiliaji na Tathimini cha Jeshi la Polisi nchini, Naibu Kamishna (DCP) Mpinga Gyumi, wakati akitoa mada kwa washiriki wa Mafunzo ya kuimarisha Miundombinu ya Maadili na mapambano dhidi ya Rushwa yanayotolewa kwa Wakuu wa Polisi wa Tarafa na Majimbo yanayofanyika mjini...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mataifa ya Kiislamu 34 kupambana na ugaidi

Saudi Arabia imetangaza kuundwa kwa muungano wa mataifa ya Kiislamu 34 utakaopambana na tishio la ugaidi kote duniani

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza kuongeza fedha za kupambana na ugaidi

Uingereza itaongeza maradufu uwekezaji katika usalama wa kimitandao, ili kukabiliana na ongezeko la hatari ya mashambulizi ya kigaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani