Mvulana akiri mashtaka ya ugaidi Australia
Mvulana wa umri wa miaka 17 aliyekamatwa na polisi mjini Melbourne mwezi Mei mwaka huu, amekiri mashtaka yanayohusiana na ugaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Rais wa zamani wa Guinea akiri mashtaka US
Jenerali wa zamani wa kikosi cha Muungano wa Afrika ambaye aliwahi kuhudumu kama rais wa mpito nchini Guinea amekiri mashtaka ya kulangua maelfu ya dola Marekani.
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Australia kuchunguzi Ugaidi
Uchunguzi mpya umeanzishwa rasmi nchini Australia katika mji wa Sydney kutokana na shambulio la kigaidi.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-gVoL9xvjcXE/U8VSAwsnUxI/AAAAAAAABXk/kJX9FSCSu0Q/s72-c/Hussein+Mwinyi-April24-2014.jpg)
Dk. Mwinyi akiri ugaidi ni tishio
NA MOHAMMED ISSA
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi, amesema ugaidi na uharamia ni changamoto kubwa kwa nchi za Afrika Mashariki.
Amesema matatizo yanayotokea Somalia yanatishia usalama wa nchi za Afrika Mashariki na kwamba juhudi zinapaswa kuchukuliwa kudhibiti hali hiyo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gVoL9xvjcXE/U8VSAwsnUxI/AAAAAAAABXk/kJX9FSCSu0Q/s1600/Hussein+Mwinyi-April24-2014.jpg)
Dk. Mwinyi alisema hayo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua maonyesho ya majeshi ya nchi kavu.
Alisema matukio ya kigaidi na kiharamia yanayojitokeza kwenye nchi mbalimbali duniani,...
10 years ago
BBCSwahili18 Apr
Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Australia
Polisi nchini Australia wamewakamata wanaume watano kufuatia oparesheni ya kupambana na ugaidi kwenye mji wa Melbourne.
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Mikakati ya kupambana na ugaidi Australia
Waziri mkuu wa Australia Tony Abbot ametangaza mikakati mipya ya kupambana na ugaidi
10 years ago
Bongo507 Mar
Mtuhumiwa wa Ugaidi nchini Marekani akiri asingekamatwa angemuua Obama
Mtu mmoja anayetuhumiwa kutaka kushambulia mji mkuu wa Marekani Washington DC, aliomba kituo cha televisheni kimoja kumtembelea mahabusu na alipohojiwa na mwandishi wa habari kama asingekamatwa alisema alisema angehakikisha risasi inaingia kichwani kwa Obama. Mwandishi wa kituo cha televisheni (WXIX-TV) alidai kuwa mtuhumiwa huyo, Christopher Lee Cornell alipiga simu kutoka jela ya Kentucky ambako anashikiliwa na […]
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Mvulana mdogo apandikizwa mikono
Zion ni mvulana mdogo kuwahi kufanyiwa upasuaji wa upandikizaji mikono.Alitaka kufanyiwa upasuaji huo ili kumchukua dadaake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutO9vx3lEh5wtOstOP24B9me-e2PcfG8l1JEOjuImcue0t0QV9D6eFNEniUJXpgqP4qmFAic9IdiMjbT10b01dQ/BACKUWAZI.gif?width=650)
MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI
Makongoro Oging’ na Issa Mnally
HUKU watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa vifijo, shangwe na nderemo, kwa familia za polisi waliouawa Vikindu wilayani Mkuranga, Pwani, Sajenti Michael Aaron Tuheri (49) na Koplo Francis Mkinga (53) ilikuwa ni huzuni kutokana na vifo vya wapendwa wao hao. Mauaji ya polisi hayo yamewaacha ndugu na jeshi la polisi nchini katika hali ya huzuni huku yakifananishwa na yale yaliyotokea...
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Mvulana aliyetuhumiwa kuwa 'gaidi' adai fidia
Mvulana wa umri wa miaka 14 aliyezoa umaarufu baada ya kukamatwa kwa kupeleka saa ya kujitengenezea shuleni, anadai fidia ya dola milioni 15 ($15m).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania