Mtuhumiwa wa Ugaidi nchini Marekani akiri asingekamatwa angemuua Obama
Mtu mmoja anayetuhumiwa kutaka kushambulia mji mkuu wa Marekani Washington DC, aliomba kituo cha televisheni kimoja kumtembelea mahabusu na alipohojiwa na mwandishi wa habari kama asingekamatwa alisema alisema angehakikisha risasi inaingia kichwani kwa Obama. Mwandishi wa kituo cha televisheni (WXIX-TV) alidai kuwa mtuhumiwa huyo, Christopher Lee Cornell alipiga simu kutoka jela ya Kentucky ambako anashikiliwa na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA.


10 years ago
Habarileo15 Sep
Mtuhumiwa ugaidi ajirusha ghorofani
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imewakamata watuhumiwa 26 wanaojihusisha na vitendo vya ugaidi, huku Ally Ulatule anayetajwa kama kinara wa vikundi hivyo akijaribu kutoroka au kujiua kwa kujirusha kutoka ghorofa ya tatu wakati akihojiwa na polisi.
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Mtuhumiwa wa ugaidi akamatwa Uingereza
10 years ago
GPL
MTUHUMIWA UGAIDI ANASWA NA POLISI!
11 years ago
Mtanzania21 Aug
Mtuhumiwa ugaidi azua jambo kortini

Arusha Town
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
WATUHUMIWA wa kesi ya ugaidi na kufanya uwakala wa kusajili vijana kujiunga na kundi la Al-Shabaab la nchini Somalia, wametaka upande wa mashtaka uwaeleze alipo mtuhumiwa mwenzao, Abdallah Thabit.
Malalamiko hayo yalitolewa jana mbele ya Hakimu Mkazi, Rose Ngoka, wakati kesi hiyo ilipokuwa ikitajwa.
Wakati watuhumiwa hao wakiwa mbele ya hakimu huyo, mtuhumiwa Ally Hamis alinyoosha mkono na kumuomba Hakimu Ngoka amsaidie kuuliza upande wa mashtaka ni...
11 years ago
Mwananchi21 Oct
Mtuhumiwa wa matukio ya ugaidi auawa Arusha
11 years ago
Uhuru Newspaper
Dk. Mwinyi akiri ugaidi ni tishio
NA MOHAMMED ISSA
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi, amesema ugaidi na uharamia ni changamoto kubwa kwa nchi za Afrika Mashariki.
Amesema matatizo yanayotokea Somalia yanatishia usalama wa nchi za Afrika Mashariki na kwamba juhudi zinapaswa kuchukuliwa kudhibiti hali hiyo.

Dk. Mwinyi alisema hayo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua maonyesho ya majeshi ya nchi kavu.
Alisema matukio ya kigaidi na kiharamia yanayojitokeza kwenye nchi mbalimbali duniani,...
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Mtuhumiwa ugaidi Kenya alitoweka shuleni Dodoma
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Mvulana akiri mashtaka ya ugaidi Australia
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10