Rais wa zamani wa Guinea akiri mashtaka US
Jenerali wa zamani wa kikosi cha Muungano wa Afrika ambaye aliwahi kuhudumu kama rais wa mpito nchini Guinea amekiri mashtaka ya kulangua maelfu ya dola Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Mvulana akiri mashtaka ya ugaidi Australia
Mvulana wa umri wa miaka 17 aliyekamatwa na polisi mjini Melbourne mwezi Mei mwaka huu, amekiri mashtaka yanayohusiana na ugaidi.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hw5cAyb55U8/UyB_Zw8AP9I/AAAAAAAFTKI/R2xjFggrrvI/s72-c/IMG_6467.jpg)
Mkurugenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11 wasomea upya mashtaka 27 ya mauji katika ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa 16,jijini dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-hw5cAyb55U8/UyB_Zw8AP9I/AAAAAAAFTKI/R2xjFggrrvI/s1600/IMG_6467.jpg)
Mbali na Fuime washtakiwa wengine ni, Diwani wa Kata ya Goba, Ibrahim Mohamed maarufu kama Kisoki, Raza Ladha, Goodluck Mbanga, Willbroad Mugyabuso,Mohamed Abdulkarim, Charles Ogare, Zonazea Oushoudada, Vedasto Ruhale,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-15XOaj4spho/VMtwJXJSX1I/AAAAAAAHAXw/-0ckshaQ1II/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Rais Kikwete ateta na Rais wa Zamani wa Nigeria,Olusegun Obasanjo jijini Addis Ababa
![](http://3.bp.blogspot.com/-15XOaj4spho/VMtwJXJSX1I/AAAAAAAHAXw/-0ckshaQ1II/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Aliyekuwa rais wa IAAF afunguliwa mashtaka
Ufaransa imeanzisha uchunguzi dhidi ya aliyekuwa rais wa shirikisho la riadha duniani IAAF,Lamine Diack, kuhusiana na madai ya ufisadi .
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Rais Uhuru Kenyatta hana mashtaka ICC
Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai, ICC imetupilia mbali kesi ya jinai inayomkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Sababu ya muswada wa kumkinga rais na mashtaka ya kikatiba kukosolewa Tanzania
Bunge la Tanzania limepitisha muswada wa mabadiliko mbalimbali ya sheria ikiwemo kuwapa kinga viongozi wakuu akiwemo rais kushtakiwa kwa madai ya kuvunja katiba na sheria.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/1EvH6RK7gis/default.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK MACHAR NCHINI AFRIKA YA KUSINI
AOMBWA AENDELEE KUSIMAMIA MAZUNGUMZO YA AMANI KATI YA VIKUNDI VINAVYOSIGANA VYA NCHI HIYO
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Nyalandu akiri Freidkin kupewa leseni ya Rais
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amekiri kwamba familia ya Freidkin ilipewa kihalali Leseni Maalum/Leseni ya Rais ya kuwinda kwa mujibu wa kifungu cha 58 (1) cha Sheria ya...
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Rais wa zamani wa Madagascar akamatwa
Aliyekuwa rais wa Madagascar Marc Ravalomanana amekamatwa muda mfupi baada ya kurejea nyumbani kutoka uhamishoni kwa miaka mitano
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania