Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais wa zamani wa Guinea akiri mashtaka US

Jenerali wa zamani wa kikosi cha Muungano wa Afrika ambaye aliwahi kuhudumu kama rais wa mpito nchini Guinea amekiri mashtaka ya kulangua maelfu ya dola Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mvulana akiri mashtaka ya ugaidi Australia

Mvulana wa umri wa miaka 17 aliyekamatwa na polisi mjini Melbourne mwezi Mei mwaka huu, amekiri mashtaka yanayohusiana na ugaidi.

 

11 years ago

Michuzi

Mkurugenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11 wasomea upya mashtaka 27 ya mauji katika ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa 16,jijini dar

MKURUGENZI wa Mashitaka Nchini (DPP), amemfutia mashitaka aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime (61) na kisha kumuunganisha na wenzake 11 na kuwasomea upya mashtaka 27 ya mauji katika mtaa wa Indira Gandh, yaliyotokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16.
Mbali na Fuime washtakiwa wengine ni, Diwani wa Kata ya Goba, Ibrahim Mohamed maarufu kama Kisoki, Raza Ladha, Goodluck Mbanga, Willbroad Mugyabuso,Mohamed Abdulkarim, Charles Ogare, Zonazea Oushoudada, Vedasto Ruhale,...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete ateta na Rais wa Zamani wa Nigeria,Olusegun Obasanjo jijini Addis Ababa

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Rais Mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo jijini Addis Ababa Ethiopia leo wakati wa kikao maalum kilichojadili hali ya usalama Barani Afrika.Rais Kikwete aliwasili nchini Ethiopia jana kuhudhuria kikao cha wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika(African Union) AU.(picha na Freddy Maro)

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa rais wa IAAF afunguliwa mashtaka

Ufaransa imeanzisha uchunguzi dhidi ya aliyekuwa rais wa shirikisho la riadha duniani IAAF,Lamine Diack, kuhusiana na madai ya ufisadi .

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Uhuru Kenyatta hana mashtaka ICC

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai, ICC imetupilia mbali kesi ya jinai inayomkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

 

5 years ago

BBCSwahili

Sababu ya muswada wa kumkinga rais na mashtaka ya kikatiba kukosolewa Tanzania

Bunge la Tanzania limepitisha muswada wa mabadiliko mbalimbali ya sheria ikiwemo kuwapa kinga viongozi wakuu akiwemo rais kushtakiwa kwa madai ya kuvunja katiba na sheria.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK MACHAR NCHINI AFRIKA YA KUSINI

AOMBWA AENDELEE KUSIMAMIA MAZUNGUMZO YA AMANI KATI YA VIKUNDI VINAVYOSIGANA VYA NCHI HIYO

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu akiri Freidkin kupewa leseni ya Rais

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amekiri kwamba familia ya Freidkin ilipewa kihalali Leseni Maalum/Leseni ya Rais ya kuwinda kwa mujibu wa kifungu cha 58 (1) cha Sheria ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa zamani wa Madagascar akamatwa

Aliyekuwa rais wa Madagascar Marc Ravalomanana amekamatwa muda mfupi baada ya kurejea nyumbani kutoka uhamishoni kwa miaka mitano

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani