Sababu ya muswada wa kumkinga rais na mashtaka ya kikatiba kukosolewa Tanzania
Bunge la Tanzania limepitisha muswada wa mabadiliko mbalimbali ya sheria ikiwemo kuwapa kinga viongozi wakuu akiwemo rais kushtakiwa kwa madai ya kuvunja katiba na sheria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wWJjYcdJJ7k/XrzW_nOn7ZI/AAAAAAALqJ0/R_TsHfwBAycfckk63tiZarVBEqG8_O9MwCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252B%252Bkabudi.jpg)
PROF. KABUDI ATAJA SABABU ZA TANZANIA KUTOSHIRIKI MKUTANO WA NCHI NNE NA ULE ULIOTISHWA NA RAIS WA AFRIKA KUSINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wWJjYcdJJ7k/XrzW_nOn7ZI/AAAAAAALqJ0/R_TsHfwBAycfckk63tiZarVBEqG8_O9MwCLcBGAsYHQ/s400/pic%252B%252Bkabudi.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi amefafanua kwa kina sababu za Tanzania kutoshiriki kwenye mikutano ya kikanda ukiwemo mkutano wa Korido ya Kaskazini unaohusisha nchi nne pamoja na mkutano wa SACU uliotishwa na Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa.
Ufafanuzi wa Profesa Kabudi ambao ameutoa leo Mei 13,2020 Bungeni Mjini Dodoma unatokana na kuwepo kwa madai ya baadhi ya watu wasioitakia mema Jumuiya Afrika...
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Rais wa zamani wa Guinea akiri mashtaka US
Jenerali wa zamani wa kikosi cha Muungano wa Afrika ambaye aliwahi kuhudumu kama rais wa mpito nchini Guinea amekiri mashtaka ya kulangua maelfu ya dola Marekani.
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Aliyekuwa rais wa IAAF afunguliwa mashtaka
Ufaransa imeanzisha uchunguzi dhidi ya aliyekuwa rais wa shirikisho la riadha duniani IAAF,Lamine Diack, kuhusiana na madai ya ufisadi .
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Rais Uhuru Kenyatta hana mashtaka ICC
Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai, ICC imetupilia mbali kesi ya jinai inayomkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Rais asaini muswada kuondoa kodi ya simu
Rais Jakaya Kikwete ametia saini hati ya dharura (Certificate of Urgency) ili Muswada wa Fedha wa Mwaka 2013 ufanyiwe marekebisho ya kuondoa tozo ya kodi kwa kadi za simu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V3ri3ykXuD56Xe3wYMKfGRnUjdBiInEpZ8TFRxid6ur1bbbTdtAHF5EwTkPdLX1gET97KUwmnuaXnlBHBdj6Jk3U4j-61nIT/Kikwete.jpg)
MH. RAIS ASIPITISHE MUSWADA WA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAONI, 2015
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho kikwete. TAARIFA KWA UMMA YA TBN KUMUOMBA Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini, Tanzania Bloggers Network (TBN) tunamuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kutumia mamlaka yake vyema kwa kutokupitisha muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 unaokandamiza uhuru wa mawasiliano mitandaoni. Muswada wa sheria ya makosa ya...
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Tanzania yapitisha muswada wa ajira
Bunge la Tanzania limepitisha muswada wa sheria ya udhibiti wa ajira za wageni wa mwaka 2014
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dYLrpk-c-H8/VaUKqktO8JI/AAAAAAAAAOE/tuhgf3-m-EY/s72-c/9.jpg)
Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-dYLrpk-c-H8/VaUKqktO8JI/AAAAAAAAAOE/tuhgf3-m-EY/s640/9.jpg)
Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwaDr. Slaa akihojiwa na Radio five ya Arusha jioni hii nini maoni yake kuhusu uteuzi wa Magufuli kuwania Urais.
Ameongelea mengi lakini amesema iwapo UKAWA wakimpa nafasi na Watanzania wakampa kura za kutosha kushinda Urais atamtia Magufuri ndani ili kujibu tuhuma za uuzwaji wa Nyumba kwa bei ya kutupa.
Chanzo: Radio five,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-q9wEbkZT2Lw/VYCPHCXaMEI/AAAAAAAHgLw/vcYLZV4wVVs/s72-c/1...jpg)
BASATA LAWATAKA WASANII KUWA TAYARI KUKOSOLEWA
Na Mwandishi Wetu
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa wito kwa wasanii kuacha tabia ya kulewa umaarufu na kuchukia pale wanapokosolewa kwani kazi yoyote ya Sanaa lazima ikosolewe ili iwe bora na yenye kuvutia.
Wito huo umetolewa mapema wiki hii na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Godfrey Lebejo Mngereza wakati akizungumza kwenye Jukwaa la Sanaa la BASATA linalofanyika kwa mwezi mara mbili siku ya Jumatatu kwenye Ukumbi wa Baraza hilo ulioko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es...
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa wito kwa wasanii kuacha tabia ya kulewa umaarufu na kuchukia pale wanapokosolewa kwani kazi yoyote ya Sanaa lazima ikosolewe ili iwe bora na yenye kuvutia.
Wito huo umetolewa mapema wiki hii na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Godfrey Lebejo Mngereza wakati akizungumza kwenye Jukwaa la Sanaa la BASATA linalofanyika kwa mwezi mara mbili siku ya Jumatatu kwenye Ukumbi wa Baraza hilo ulioko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania