Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyalandu akiri Freidkin kupewa leseni ya Rais

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amekiri kwamba familia ya Freidkin ilipewa kihalali Leseni Maalum/Leseni ya Rais ya kuwinda kwa mujibu wa kifungu cha 58 (1) cha Sheria ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa zamani wa Guinea akiri mashtaka US

Jenerali wa zamani wa kikosi cha Muungano wa Afrika ambaye aliwahi kuhudumu kama rais wa mpito nchini Guinea amekiri mashtaka ya kulangua maelfu ya dola Marekani.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA

Na   Bashir     Yakub
Katika  makala  iliyopita  nilisema  kuwa  vijana  wengi   wajasiriamali  wanaofungua   biashara  za  makampuni   wanao  uwezo  mkubwa   wa kufika mbali   isipokuwa  tatizo  lao  ni  taarifa za  mambo  mbalimbali   kuhusu uendeshaji  wa  kampuni   hizo. 
 Mambo  ya uendeshaji   wa  kampuni  ni  mepesi sana  na  yanawezwa   na  mtu  yeyote isiopokuwa   tatizo   ni   taarifa   na  elimu ya  namna  ya  uendeshaji  kisheria   ili   kampuni   ionekane  ni kampuni.  Nilieleza...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete akiri upungufu wa madaktari nchini, aahidi kutatua

Rais Jakaya Kikwete, amesema tatizo la upungufu wa madaktari nchini ni kubwa lakini akasema Serikali imejipanga na kuweka mikakati kabambe ya kulitatua.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Aliyekuwa rais wa Liberia akiri kufanya makosa kama ya China

Bi. Ellen aliiongoza Liberia kwa miaka 12 ikiwemo miaka ambayo mlipuko wa Ebola uliibuka mwaka 2014 mpaka 2016 na kuua watu takribani 5000 nchini mwake.

 

5 years ago

BBCSwahili

William Ruto: Naibu rais wa Kenya akiri 'walaghai' walikutana ofisini mwake jumba la Harambee House jijini Nairobi

Naibu rais wa Kenya William Ruto amekiri kwamba watu waliopanga kashfa ya mamilioni ya dola walitembelea ofisi yake katika jumba la Harambee House Annex.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimbaji wadogo ‘walilia’ leseni

Zaidi ya wachimbaji wadogo wa dhahabu 7000 wilayani Nzega mkoani Tabora wameiomba Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini kuwapatia leseni ya uchimbaji katika mgodi mdogo wa dhahabu wa Mwanshina, uliopo pembezoni mwa mgodi mkubwa wa dhahabu wa Resolute.

 

10 years ago

Dewji Blog

Jembe FM ya Mwanza yapewa leseni

DSC_0644

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma akizungumza kwenye hafla fupi ya kukabidhi leseni kwa redio ya Jembe FM ya jijini Mwanza kwenye ofisi za makao makuu ya TCRA jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Mwandishi wetu

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Profesa John Nkoma ametaka matumizi sahihi ya masafa ya radio yanayatumiwa kurusha vipindi vya radio kwa ajili ya maendeleo ya umma.

Kauli hiyo...

 

11 years ago

Michuzi

Taarifa ya Ukaguzi wa Leseni Za Biashara

 Afisa Habari wa Wizara ya Viwanda na Uchukuzi, Nicodemas Mushi (kulia) akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam kuelezea tamko la serikali kuanza ukaguzi wa leseni  zote za biashara nchini. Pembeni yake ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Uhamasishaji Biashara na Masoko, Mashingo Christopher.  Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Uhamasishaji Biashara na Masoko, Mashingo Christopher (kati) akikazia tamko la serikali juu ya ukaguzi wa leseni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani