Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nilitaka Kumuua Mwanangu Mara 3, Leo Ananisaidia!-11

Ilipoishia wiki iliyopita
Nikiwa nimelala kama saa nane usiku, ghafla nikahisi joto kali chumbani na kwa uzoefu wangu wa Iringa, kipindi kile ni cha baridi. Haraka nikaamka, nikasikia harufu ya moto, nikavaa suruali haraka nikatoka nje. Kulikuwa na moshi mwingi pale kwenye korido, sikuona chochote!Sasa endelea…

Moshi ulikuwa ni mwingi sana kiasi kwamba ingawa taa zilikuwa zinawaka, lakini mwanga wake ulionekana mwekundu usiopitisha nuru yoyote. Na mlango wa chumba changu ukaanza kuingiza...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Nilitaka Kumuua Mwanangu Mara 3, Leo Ananisaidia!-12

Ilipoishia wiki iliyopita
Ili kujiokoa, nikajikuta nikiruka kutoka juu ya paa la nyumba huku nikipiga mayowe. Nahisi nilipoteza fahamu kabla ya kuanguka chini maana sikukumbuka kilichotokea.
Sasa endelea…

Nilikuja kuzinduka nikiwa nimelala kitandani hospitalini, mwili wote ulikuwa na maumivu na sikuweza hata kujitingisha. Kichwa chote kilikuwa kimefungwa bandeji na macho yangu hayakuweza kuona mwanga.

Nilitambua kama nilikuwa hospitali kutokana na harufu ya dawa na mpishano wa watu. Katika...

 

9 years ago

Mtanzania

Mzee Jangala: Nilitaka mwanangu awe mwanajeshi

jangala23NA CHRISTOPHER MSEKENA

MKONGWE wa filamu za vichekesho nchini, Bakari Mbelemba maarufu kama Mzee Jangala, amesema alitamani mwanaye wa kwanza wa kiume awe mwanajeshi badala ya kuwa kwenye fani yake ya sanaa.

Mzee Jangala alisema enzi zao walikuwa wanaamini zaidi ukiwa na mtoto mwanajeshi kuna mambo mbalimbali atakuwa anaweza kuyatimiza kama atakuwa na nafasi kubwa.

“Chaguo la kwanza nilitaka mwanangu awe mwanajeshi, kama alikuwa anataka kuwa daktari au kufanya sanaa basi nilipenda avifanye...

 

5 years ago

Michuzi

ACHA LEO NISEME UKWELI MZEE WANGU KINANA UJUE NILITAKA KUKUSHANGAA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV .
MZEE wangu Abdulrhman Kinana acha leo niseme ukweli nilitaka kushangaa.Ndio nilitaka kushangaa kuhusu wewe.Unajua kwanini ?Nitaeleza huko mbele ya safari kwenye maelezo yangu.
Hata hivyo kabla ya kuendelea naomba nikurejeshe kwenye kile ambacho mzee Kinana amekizungumza jana akiwa mkoani Arusha baada ya kwenda kumtembelea na kumsalimia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Arusha.
Akiwa katika ofisi ya CCM Mkoa wa Arusha Kinana amesikika akisema hivi "Ni...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasha Mshumaa katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kama ishara ya Kumbukumbu wakati alipofika katika Jumba la makumbusho Butiama mkoani Mara leo Sept 15, 2015 baadda ya kuadhimisha Kilele cha Siku ya Mara (Mara Day) iliyofanyika Butiama.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka Shada la Maua katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa...

 

9 years ago

Mwananchi

10 years ago

Mwananchi

Mrembo Sitti: Nilitaka kujiua

Dar es Salaam. “Nilitaka kujiua kwa njia yoyote ambayo ningeona inafaa, lakini nilirudisha moyo nyuma kwa sababu ingekuwa shida kubwa nyumbani.”

 

11 years ago

Habarileo

Mwili wa RC Mara kuagwa leo

MWILI wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa unaagwa leo katika ibada itakayofanyika viwanja vya Nyerere Square, mjini Dodoma. Taarifa ya Kamati ya Uratibu ya Msiba ya Mkoa wa Dodoma, ilisema baada ya ibada hiyo wananchi watapata nafasi ya kumuaga.

 

9 years ago

Vijimambo

MAFURIKO YA LOWASSA MJINI MUSOMA, MKOANI MARA LEO

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa na Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mara na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Musoma Mjini, Vicent Nyerere, wakiwasili kwenye Uwanja wa Mkendo, Jimbo la Musoma Mjini, Mkoani Mara leo Oktoba 11, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni.
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mara na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Musoma Mjini, Vicent Nyerere, akihutubia wananchi katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni,...

 

11 years ago

Michuzi

MWILI WA MAREHEMU MKUU WA MKOA WA MARA WAWASILI DODOMA LEO

Askari wakiwa wamebeba mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege Dodoma leo Machi 27, 2014. Marehemu ataagwa kwenye viwanja vya Nyerere Dodoma Machi 28, 2014 kabla ya kusafirishwa  kwenda kilosa kwa mazishi.  Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani