Mzee Jangala: Nilitaka mwanangu awe mwanajeshi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MKONGWE wa filamu za vichekesho nchini, Bakari Mbelemba maarufu kama Mzee Jangala, amesema alitamani mwanaye wa kwanza wa kiume awe mwanajeshi badala ya kuwa kwenye fani yake ya sanaa.
Mzee Jangala alisema enzi zao walikuwa wanaamini zaidi ukiwa na mtoto mwanajeshi kuna mambo mbalimbali atakuwa anaweza kuyatimiza kama atakuwa na nafasi kubwa.
“Chaguo la kwanza nilitaka mwanangu awe mwanajeshi, kama alikuwa anataka kuwa daktari au kufanya sanaa basi nilipenda avifanye...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Nilitaka Kumuua Mwanangu Mara 3, Leo Ananisaidia!-12
Ilipoishia wiki iliyopita
Ili kujiokoa, nikajikuta nikiruka kutoka juu ya paa la nyumba huku nikipiga mayowe. Nahisi nilipoteza fahamu kabla ya kuanguka chini maana sikukumbuka kilichotokea.
Sasa endelea…
Nilikuja kuzinduka nikiwa nimelala kitandani hospitalini, mwili wote ulikuwa na maumivu na sikuweza hata kujitingisha. Kichwa chote kilikuwa kimefungwa bandeji na macho yangu hayakuweza kuona mwanga.
Nilitambua kama nilikuwa hospitali kutokana na harufu ya dawa na mpishano wa watu. Katika...
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Nilitaka Kumuua Mwanangu Mara 3, Leo Ananisaidia!-11
Ilipoishia wiki iliyopita
Nikiwa nimelala kama saa nane usiku, ghafla nikahisi joto kali chumbani na kwa uzoefu wangu wa Iringa, kipindi kile ni cha baridi. Haraka nikaamka, nikasikia harufu ya moto, nikavaa suruali haraka nikatoka nje. Kulikuwa na moshi mwingi pale kwenye korido, sikuona chochote!Sasa endelea…
Moshi ulikuwa ni mwingi sana kiasi kwamba ingawa taa zilikuwa zinawaka, lakini mwanga wake ulionekana mwekundu usiopitisha nuru yoyote. Na mlango wa chumba changu ukaanza kuingiza...
10 years ago
Bongo Movies04 Jun
Mzee Jangala Kugombea Uraisi
Staa mkongwe wa filamu nchini, Bakari Mbelemba maarafu kwa jina la Mzee Jangala ameweka wazi kua atatumia tamasha la ngoma za asili kutangaza nia yake ya kugombea uraisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Tamasha hilo amabalo litafanyika tarehe 13 juni kwenye uwanja wa Taifa na Makamu wa raisi DR Mohamed Gharib Bilal amealikwa kuwa mgeni rasmi.katiaka mahojiano mzee Jangala alisema”nimepanga kutangaza nia ya kugombea uraisi siku hiyo kwenye uwanja wa taifa mbele ya makamu wa raisi, najua...
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Mzee Jangala: Msinibeze, nautaka urais
10 years ago
Bongo Movies31 May
Kajala: Simruhusu Mwanangu Paula Awe na Simu
Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja amesema hawezi kumruhusu binti yake Paula kumiliki simu ya mkoni kwasasa.
Akiongea kwenye kipindi cha The Sporah Show hivi karibuni, Kajala alisema anaweza kufikiria kumruhusu kuwa na simu hadi pale atakapomaliza kidato cha nne.
Kajala alisema mtoto wake pia hayupo kwenye mtandao picha wa Instagram.
“Paula hana simu kabisa, sio tu simu ya Instagram hata tu kitochi, hana simu,” alisema.
“Na hawezi kuwa na simu labda mpaka afike form four, yaani...
10 years ago
Bongo Movies22 Jun
Aunty Ezekiel: Sipendi Mwanangu Awe Mwigizaji
Staa wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amefunguka kuwa hapendi mtoto wake aliyejifungua hivi karibuni aitwaye Cookie,awe mwigizaji wa filamu kama yeye.
Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa atakachofanya kama mzazi anataka mtoto wake asome na kama akiwa mwigizaji basi iwe kama kazi yake ya ziada siyo anayoitegemea kwenye maisha yake.
‘’Binafsi sipendi mwanangu awe mwigizaji kama mimi,na siyo lazima kama mimi mama yake niwe mwigizaji na yeye awe hivyo kuna kazi nyingi ila ninachotaka asome sana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKbPBIekOqTykBdW98cq*yXV7hol7wMo9XPb7q-Gk7RoX8FvGHv00nhFwVLDpa7lM1Tb1ySd0FtdYnP2rF1R93G/Mtoto.jpg?width=640)
MAMA: NISAIDIENI MWANANGU AWE KAMA WATOTO WENGINE
9 years ago
Bongo Movies22 Oct
Mzee Jangala: Alitamani Mtoto Wake Afanye Kazi Hii..
MKONGWE wa filamu za vichekesho nchini, Bakari Mbelemba maarufu kama Mzee Jangala, amesema alitamani mwanaye wa kwanza wa kiume awe mwanajeshi badala ya kuwa kwenye fani yake ya sanaa.
Mzee Jangala alisema enzi zao walikuwa wanaamini zaidi ukiwa na mtoto mwanajeshi kuna mambo mbalimbali atakuwa anaweza kuyatimiza kama atakuwa na nafasi kubwa.
“Chaguo la kwanza nilitaka mwanangu awe mwanajeshi, kama alikuwa anataka kuwa daktari au kufanya sanaa basi nilipenda avifanye akiwa jeshini lakini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3a3X8W22Ro0/XtoYpoRkSYI/AAAAAAALsr4/1DesrrOHgXIBtBXW9PDA-g8LYdffEAwTQCLcBGAsYHQ/s72-c/maoni%252Bpic.jpg)
ACHA LEO NISEME UKWELI MZEE WANGU KINANA UJUE NILITAKA KUKUSHANGAA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3a3X8W22Ro0/XtoYpoRkSYI/AAAAAAALsr4/1DesrrOHgXIBtBXW9PDA-g8LYdffEAwTQCLcBGAsYHQ/s400/maoni%252Bpic.jpg)
MZEE wangu Abdulrhman Kinana acha leo niseme ukweli nilitaka kushangaa.Ndio nilitaka kushangaa kuhusu wewe.Unajua kwanini ?Nitaeleza huko mbele ya safari kwenye maelezo yangu.
Hata hivyo kabla ya kuendelea naomba nikurejeshe kwenye kile ambacho mzee Kinana amekizungumza jana akiwa mkoani Arusha baada ya kwenda kumtembelea na kumsalimia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Arusha.
Akiwa katika ofisi ya CCM Mkoa wa Arusha Kinana amesikika akisema hivi "Ni...