Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema yajiimarisha yaendesha mikutano ya mafunzo Singida

 DSC05413

Mkurugenzi wa organization na mafunzo CHADEMA Taifa, Benson Kigaila, akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye uwanja wa Peoples mjini Singida  ukiwa na lengo na kuzindua mafunzo yanayoendelea kutolewa nchini kote na chama hicho, kujiimarisha kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu.

DSC05411

DSC05401

Baadhi ya wanaCHADEMA na wananchi wa mji wa Singida, waliophudhuria mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya kumsikiliza mkurugenzi wa organization na mafunzo wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

YMC yaendesha mafunzo ya siku mbili ya utafiti wa taaluma shule za msingi Manispaa ya Singida

IMG_0313

Mratbu wa shirika la Uwezo mkoa wa Singida, Nason W.Nason, akitoa nasaha zake kwenye mafunzo yaliyohusu kufanywa kwa utafiti juu ya taaluma shule za msingi manispaa ya Singida.Wa pili kulia ni Kaimu Afisa Elimu shule za msingi manispaa ya Singida, Samwel Mwaikenda na (wa pili kushoto) ni Mkurugenzi wa YMC mkoa wa Singida, Fidelis Yunde.

IMG_0322

Kaimu Afisa Elimu manispaa ya Singida, Samwel Mwaikenda, akizungumza kwenye ufungaji wa mafunzo ya namna bora ya kufanya utafiti wa taaluma katika shule za...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Statoil yaendesha mafunzo ya ujasiriamali

MAFUNZO ya elimu ya ujasiriamali kwa washiriki wa shindano la Mashujaa wa kesho yaliyoratibiwa na kampuniya Statoil Tanzania kwa ajili ya kukuza ubunifu wa kibiashara kwa vijana wa Mtwara, yamemalizika....

 

10 years ago

Habarileo

MUHAS yaendesha mafunzo kwa wahandisi

CHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS) kwa kushirikiana na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), kimeendesha mafunzo na shindano kubwa linalolenga kuwapata wahandisi vijana wabunifu na wagunduzi kwenye eneo la utengenezaji wa vifaa tiba kutoka vyuo vikuu vya Afya na Sayansi barani Afrika.

 

10 years ago

Dewji Blog

TMF yaendesha mafunzo ya ‘New Media na Data Journalism’

data-pictures-640x468

Na modewji blog

MFUKO wa Vyombo vya habari nchini Tanzania (TMF) unaendesha mafunzo ya siku tano kwa waandishi wa habari kuhusu ‘New media and data journalism’ kuanzia Machi 17 -21, mwaka huu, jijini Dar es Salaam.

Mafunzo hayo yanahusisha washiriki 10 kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini ambavyo ni redio, magazeti, taasisi za elimu ya juu zinazofundisha masula ya habari na mawasiliano ya umma na mitandao ya kijamii.

Afisa Mafunzo wa TMF Bi. Raziah Mwawanga akiongea wakati wa mafunzo...

 

10 years ago

GPL

UNESCO YAENDESHA MAFUNZO YA TEHAMA KUHUSU MABADILIKO YA RADIO JAMII‏

Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akiendesha mafunzo ya matumizi ya kutumia TEHAMA kwa kupeleka na kupokea habari yaliyofanyika katika kituo cha Sengerema Telecentre mkoani Mwanza chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na Utamaduni (UNESCO). Ofisa...

 

10 years ago

Dewji Blog

RC Singida ahimiza wananchi kuhudhuria mikutano ya siasa

DSC02580

Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha ushauri ya mkoa (RCC) kilichofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training  Centre mjini Singida.K ulia ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan na wa kwanza kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Singida,M ary Chitanda na anayefuatia ni mwenyekiti CCM mkoa wa Singida,Mgana Msindai.

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, amewahimiza wananchi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Klabu ya mchezo wa draft Wembley manispaa ya Singida, yaendesha shindano la kugombea Mbuzi

IMG_1833

Diwani wa kata ya Kisaki (CCM) manispaa ya Singida, Mosses Ikaku (kushoto) akimkabidhi Rajabu Nkungu zawadi ya Beberu la Mbuzi, kilo 10 za mchele na kreti ya soda, baada ya kuwa mshindi wa kwanza kwenye shindano la draft lililoshirikisha wachezaji 86. Shindano hilo liliandaliwa na kufadhiliwa na klabu ya draft ya Wembley ya mjini hapa. IMG_1849 Baadhi ya wanachama wa klabu ya wachezaji wa draft ya Wembley wakicheza mchezo wa draft. IMG_1855 Baadhi ya wanachama wa klabu ya wachezaji wa draft ya Wembley...

 

10 years ago

Michuzi

OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDESHA MAFUNZO KWA TAASISI WADAU WA USIMAMIZI WA SHERIA

Mkurugenzi Msaidizi wa Mafunzo, Bibi Felista Tirutangwa (aliyesimama) akizungumza wakati wa kumkaribisha Mgeni Rasmi, Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Taasisi Wadau wa Usimamizi wa Sheria Juu ya Ripoti ya Ukaguzi ya CAG na Jinsi ya Kuitafsiri yaliyofanyika katika Hoteli ya Den France, Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad (aliyesimama) akizungumza wakati wa Mafunzo ya Taasisi Wadau wa...

 

5 years ago

Michuzi

TGNP YAENDESHA MAFUNZO YA JINSIA, DEMOKRASIA NA UONGOZI KWA WADAU WA HAKI ZA WANAWAKE


Washiriki wa mafunzo ya Jinsia, Demokrasia na Uongozi wakiwemo viongozi wa Taasisi za Kijamii, Mashirika yasiyo ya kiserikali,waendesha bodaboda,watu wenye ulemavu na viongozi wa dini na kimila wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wakipeana mrejesho wa mambo waliyojifunza kuongeza ushiriki wa wanawake katika uongozi na kufanya maamuzi kwa nia ya kubadili mtazamo wa jamii kuhusu ushiriki wa wanawake leo Ijumaa Februari 14,2020 katika ukumbi wa BM Maganzo.Mzee wa Mila Juma Kidaha Makwaiya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani