Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TMF yaendesha mafunzo ya ‘New Media na Data Journalism’

data-pictures-640x468

Na modewji blog

MFUKO wa Vyombo vya habari nchini Tanzania (TMF) unaendesha mafunzo ya siku tano kwa waandishi wa habari kuhusu ‘New media and data journalism’ kuanzia Machi 17 -21, mwaka huu, jijini Dar es Salaam.

Mafunzo hayo yanahusisha washiriki 10 kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini ambavyo ni redio, magazeti, taasisi za elimu ya juu zinazofundisha masula ya habari na mawasiliano ya umma na mitandao ya kijamii.

Afisa Mafunzo wa TMF Bi. Raziah Mwawanga akiongea wakati wa mafunzo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Become a media expert with certified courses from the Raida School of Journalism and Media Studies.


Contact us today: 0788 499 556, 0719 293 363, 0786 122 471,  www.raida.ac.tz

 

9 years ago

TheCitizen

TMF boosts 37 media houses

The Tanzania Media Foundation, formerly known as the Tanzania Media Fund (TMF), says it has in the past two year offered grants to 37 media organisations to address the challenge of accountability.

 

11 years ago

IPPmedia

Ten IPP media journalists selected for Excellence in Journalism awards


IPPmedia
Ten IPP media journalists selected for Excellence in Journalism awards
IPPmedia
MCT regulation and standards manager Pili Mtambalike (R), currently doubling as the council's acting executive secretary, announces the names of the 2014 (EJAT) finalists in Dsm yesterday. Ten IPP Media Group journalists have been shortlisted for the ...
EJAT Shortlists 101 NomineesAllAfrica.com

all 3

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania Media Foundation (TMF) mpya yazinduliwa rasmi!

2m Mwenyekiti wa Bodi ya TMF Mama Halima Shariff akitoa neno la shukurani baada ya bodi hiyo kuzinduliwa usiku wa Septemba 22.2015, katika ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. 

1mKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana,  Utamaduni na Michezo, Mama Sihaba Nkinga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tanzania Media Foundation – Mfuko wa Habari Tanzania – TMF) uliyofanyika usiku wa kuamkia Septemba 22.2015 kwenye ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. Mfuko huu unachukua...

 

9 years ago

Michuzi

Tanzania Media Fund (TMF) kutuza waandish kesho

DAR-ES-SALAAM, SEPTEMBA 20 2015 – Mfuko wa Habari Tanzania utatoa kesho tuzo maalum tuzo kwa waandishi waliowezeshwa na TMF na kazi zao kuweza kuleta mabadiliko chanya. Hafla ya utoaji tuzo hizo itafanyikakwenye ukumbi wa LAPF Millenium Towers jijini Dar es salaam kesho tarehe 22 Septemba 2015 na itaambatana na maonyesho ya kazi hizo za kiuandishi. 
 Tukio hilo linatarajiwa kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali na watu mashuhuri kutoka kwenye taaluma ya uandishi wa habari pamoja na asasi za...

 

10 years ago

Michuzi

TMF yatoa mafunzo kwa wanahabari wa Sauti ya mnyonge

Mratibu wa mradi wa ruzuku kwa waandishi wa habari wa mfuko wa waandishi wa habari nchini (TMF) Danstan Kamanzi akizungumza jana mjini Dodoma na kikundi cha waandishi wa habari wanaoandika habari za wasiosikika (Sauti ya mnyonge) kwenye mafunzo ya siku tano ya kuandika habari za mitandao ya jamii yanayofanyika Dodoma hotel. Miongoni mwa waandishi wa habari 17 wa kikundi cha waandishi wa habari wanaoandika habari za wasiosikika (Sauti ya mnyonge) wakiwa mjini Dodoma kwenye mafunzo ya siku...

 

9 years ago

Michuzi

uzinduzi wa Tanzania Media Foundation (TMF) wanafana usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana,  Utamaduni na Michezo, Mama Sihaba Nkinga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tanzania Media Foundation - Mfuko wa Habari Tanzania - TMF) uliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. Mfuko huu unachukua nafasi ya Tanzania Media Fund  Mwenyekiti wa Bodi ya TMF Mama Halima Shariff akitoa neno la shukurani baada ya bodi hiyo kuzinduliwa usiku wa kuamkia leo  katika ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani