TMF yaendesha mafunzo ya ‘New Media na Data Journalism’
Na modewji blog
MFUKO wa Vyombo vya habari nchini Tanzania (TMF) unaendesha mafunzo ya siku tano kwa waandishi wa habari kuhusu ‘New media and data journalism’ kuanzia Machi 17 -21, mwaka huu, jijini Dar es Salaam.
Mafunzo hayo yanahusisha washiriki 10 kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini ambavyo ni redio, magazeti, taasisi za elimu ya juu zinazofundisha masula ya habari na mawasiliano ya umma na mitandao ya kijamii.
Afisa Mafunzo wa TMF Bi. Raziah Mwawanga akiongea wakati wa mafunzo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi27 May
9 years ago
Michuzi11 years ago
MichuziBecome a media expert with certified courses from the Raida School of Journalism and Media Studies.
Contact us today: 0788 499 556, 0719 293 363, 0786 122 471, www.raida.ac.tz
9 years ago
TheCitizen24 Sep
TMF boosts 37 media houses
11 years ago
IPPmedia26 Feb
Ten IPP media journalists selected for Excellence in Journalism awards
IPPmedia
Ten IPP media journalists selected for Excellence in Journalism awards
IPPmedia
MCT regulation and standards manager Pili Mtambalike (R), currently doubling as the council's acting executive secretary, announces the names of the 2014 (EJAT) finalists in Dsm yesterday. Ten IPP Media Group journalists have been shortlisted for the ...
EJAT Shortlists 101 NomineesAllAfrica.com
all 3
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Tanzania Media Foundation (TMF) mpya yazinduliwa rasmi!
Mwenyekiti wa Bodi ya TMF Mama Halima Shariff akitoa neno la shukurani baada ya bodi hiyo kuzinduliwa usiku wa Septemba 22.2015, katika ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mama Sihaba Nkinga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tanzania Media Foundation – Mfuko wa Habari Tanzania – TMF) uliyofanyika usiku wa kuamkia Septemba 22.2015 kwenye ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. Mfuko huu unachukua...
9 years ago
MichuziTanzania Media Fund (TMF) kutuza waandish kesho
Tukio hilo linatarajiwa kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali na watu mashuhuri kutoka kwenye taaluma ya uandishi wa habari pamoja na asasi za...
10 years ago
MichuziTMF yatoa mafunzo kwa wanahabari wa Sauti ya mnyonge
9 years ago
Michuziuzinduzi wa Tanzania Media Foundation (TMF) wanafana usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam