Klabu ya mchezo wa draft Wembley manispaa ya Singida, yaendesha shindano la kugombea Mbuzi
![IMG_1849](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_1849.jpg)
![IMG_1855](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_1855.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
YMC yaendesha mafunzo ya siku mbili ya utafiti wa taaluma shule za msingi Manispaa ya Singida
Mratbu wa shirika la Uwezo mkoa wa Singida, Nason W.Nason, akitoa nasaha zake kwenye mafunzo yaliyohusu kufanywa kwa utafiti juu ya taaluma shule za msingi manispaa ya Singida.Wa pili kulia ni Kaimu Afisa Elimu shule za msingi manispaa ya Singida, Samwel Mwaikenda na (wa pili kushoto) ni Mkurugenzi wa YMC mkoa wa Singida, Fidelis Yunde.
Kaimu Afisa Elimu manispaa ya Singida, Samwel Mwaikenda, akizungumza kwenye ufungaji wa mafunzo ya namna bora ya kufanya utafiti wa taaluma katika shule za...
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Mlata ashiriki zoezi la usafi Manispaa ya Singida
![IMG_1124](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1124.jpg)
![IMG_1132](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1132.jpg)
![IMG_1142](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1142.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Mjasiriamali maarufu Singida, Juma Kidabu, akuchukua fomu kugombea jimbo la Singida mjini
Mjasiriamali maarufu manispaa ya Singida, Juma Ahmed Kidabu, almaarufu kwa jina la Juma Alhaj, akikabidhiwa na Katibu wa CCM jimbo la Singida mjini, Margeth Ndwete, fomu za ubunge katika jimbo hilo.Wana CCM wapatao nane jana wameanza harakati za kusaka kura za maoni.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VSwmG4l8kOo/VWrnXmoGAEI/AAAAAAAHa8c/m5gSHV31JkQ/s72-c/unnamed03.jpg)
NSSF YAENDESHA ZOEZI LA UPIMAJI AFYA WAKAZI WA MANISPAA YA MOSHI
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii(NSSF) limeendelea na zoezi la upimaji afya kwa wananchi, Zoezi hili lililoanzia mkoani Tanga limeendelea kwenye manispaa ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro.
Zoezi lililofanyika kwa siku tatu mfululizo limekuwa la mafanikio kwa kuweza kuwafikia watu zaidi ya 900 .
Huduma zilizo kuwa zikitolewa kwenye zoezi ni pamoja na:
• Upimaji wa Shinikizo la damu
• Upimaji wa sukari kwenye damu- Kisukari
• Upimaji wa hali ya lishe (Uwiano wa Urefu kwa uzito)
• Ushauri wa kitaalam...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r9XOCoKRNuw/VAx68IZDBVI/AAAAAAAGhEg/NsiI_f-ZDik/s72-c/CEO%2Band%2BRAS%2B.jpg)
mambo ni mswano kwa vijana wa mtwara, kampuni ya Statoil yaendesha shindano la kuwaendeleza
![](http://2.bp.blogspot.com/-r9XOCoKRNuw/VAx68IZDBVI/AAAAAAAGhEg/NsiI_f-ZDik/s1600/CEO%2Band%2BRAS%2B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hHaB5a1aiTc/VAx663VnkuI/AAAAAAAGhEY/B_YxixqeAAw/s1600/Heros%2Bof%2BTomorrow%2BLab%2B.jpg)
10 years ago
GPLBAYPORT FINANCIAL SERVICES YAENDESHA SHINDANO LA KUKOPA PESA KWA NJIA YA MTANDAO
10 years ago
Dewji Blog25 Apr
Chadema yajiimarisha yaendesha mikutano ya mafunzo Singida
Mkurugenzi wa organization na mafunzo CHADEMA Taifa, Benson Kigaila, akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye uwanja wa Peoples mjini Singida ukiwa na lengo na kuzindua mafunzo yanayoendelea kutolewa nchini kote na chama hicho, kujiimarisha kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu.
Baadhi ya wanaCHADEMA na wananchi wa mji wa Singida, waliophudhuria mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya kumsikiliza mkurugenzi wa organization na mafunzo wa...
10 years ago
MichuziDIWANI MBONEA WA KATA YA MIEMBENI MANISPAA YA MOSHI AKIPIGA JEKI KLABU YA MOTHERLAND
10 years ago
Dewji Blog31 Jan
Manispaa ya Singida kukusanya bil 32.2/-
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kukusanya mapato kutoka...