DIWANI MBONEA WA KATA YA MIEMBENI MANISPAA YA MOSHI AKIPIGA JEKI KLABU YA MOTHERLAND
Diwani wa kata ya Miembeni katika manispaa ya Moshi,Mbonea Mshana akikabidhi vifaa vya michezo zikiwemo jezi pamoja na Mipira kwa kiongozi wa timu ya soka ya Motherland iliyoko katika kata hiyo
Diwani Mbonea akiwaonesha wachezaji (hawako pichani) jezi alizokabidhi kwa vijana hao wanaounda timu ya Motherland yenye maskani yake kata ya Miembeni.
Diwani Mbonea akizungumza naviaja hao mara baada ya kukabidhi msaada wa jezi kwa timu ya Motherland,
Kiongozi wa timu ya soka ya Motherland Simon Fyuma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Dk.Faustine Ndugulile azindua mashindano ya Diwani Cup kata ya Kisarawe Two Manispaa ya Temeke jijini Dar
Mbunge wa Kigamboni, Dk.Faustine Ndugulile (wa pili kulia), akizungumza na wachezaji wa timu za Dubu na Tumaini (hawapo pichani), wakati akifungua mashindano ya kombe la umoja na mshikamano maarufu kama Diwani Cup yaliyoanza uwanja wa Kibamande eneo la Mwasonga Manispaa ya Temeke Dar es Salaam jana. Kulia ni mlezi wa mashindano hayo, Diwani wa Kata ya Kisarawe II, Issa Zahoro.
Mlezi wa mashindano hayo Diwani wa Kata ya Kisarawe II, Issa Zahoro, akikagua timu ya Dubu kutoka eneo la...
10 years ago
MichuziMBUNGE WA KIGAMBONI DK.FAUSTINE NDUGULILE AZINDUA MASHINDANO YA DIWANI CUP KATA YA KISARAWE TWO MANISPAA YA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Diwani Mathius wa kata ya Malangarini afunga kampeni za uchaguzi kwenye kata yake
Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili yakuwachagua viongozi wa serikali za mitaa utakaofanyika jumapili Desemba 14 mwaka huu.
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi chote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f9HudRkojAM/VlvOkS3fijI/AAAAAAAAXKc/YnWE5FZD95c/s72-c/IMG_9794%2B%25281024x683%2529.jpg)
AZANIA BANK TAWI LA MOSHI YAKABIDHI VIFAA YA KUFANYIA USAFI KWA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-f9HudRkojAM/VlvOkS3fijI/AAAAAAAAXKc/YnWE5FZD95c/s640/IMG_9794%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MJyozD6dt30/VlvN7sPQ6tI/AAAAAAAAXKM/c1CJBF3TWZM/s640/IMG_9788%2B%25281024x683%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HmVT-Elh97o/VXQEGQ4etQI/AAAAAAAAQoE/fYnLAyhZiJU/s72-c/DSCF5476%2B%2528800x600%2529.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA MOSHI ,JAFARY MICHAEL ATOA MSAADA WA KOMPYUTA KWA SHULE YA MSINGI PASUA MJINI MOSHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-HmVT-Elh97o/VXQEGQ4etQI/AAAAAAAAQoE/fYnLAyhZiJU/s640/DSCF5476%2B%2528800x600%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9hDNwimkFyY/VXQEJkbuYRI/AAAAAAAAQoM/C3ZI1FGjYWw/s640/DSCF5477%2B%2528800x600%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7Z2JyKI1NzU/VXQEMGrYqfI/AAAAAAAAQoc/rJ2Z2aYTzEk/s640/DSCF5479%2B%2528800x600%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
MichuziNHIF YAIPIGA JEKI MANISPAA YA KINONDONI LEO
Hatua hiyo inalenga kuongeza jitihada za kukabiliana na ugonjwa huo ambao umekuwa ukienea kwa kasi, tangu uanze Agosti 15, mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari leo mara baada ya kukabidhi msaada huo, Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji wa mfuko huo, Deusdedit Rutazaa alisema kutokana na...
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA YAIPIGA JEKI MANISPAA YA ILALA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YzDPecsRo30/XuBeHPOt5HI/AAAAAAALtRw/5DUrd9-nIWEczzf_gmUdiyq5ykhTAH3eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.51%2BAM.jpeg)
MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA ILALA APIGA JEKI SHULE YA SEKONDARI YA VINGUNGUTI
![](https://1.bp.blogspot.com/-YzDPecsRo30/XuBeHPOt5HI/AAAAAAALtRw/5DUrd9-nIWEczzf_gmUdiyq5ykhTAH3eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.51%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Eq33nenT5_U/XuBeGwyUPkI/AAAAAAALtRs/OgiCvpm4l9IhbySEQHe8pyJ4txCfHFXvACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.52%2BAM.jpeg)
Lengo la ziara hiyo ni kukagua Ujenzi wa Madarasa Manne yanajengwa katika shule hiyo. Mstahiki aliwapongeza Walimu wa Shule hiyo ya Sekondari Vingunguti kwa usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa hayo manne.
Uongozi wa Shule hiyo ulimpongeza Mstahiki...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Diwani apinga ongezeko la mitaa, kata
DIWANI wa Misufini katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Ruvuma, Salum Mfamaji (CHADEMA), amesema kuongezwa kwa mitaa katika manispaa hiyo ni kuibebesha mzigo serikali na wananchi. Mfamaji alisema hayo wakati...