mambo ni mswano kwa vijana wa mtwara, kampuni ya Statoil yaendesha shindano la kuwaendeleza
![](http://2.bp.blogspot.com/-r9XOCoKRNuw/VAx68IZDBVI/AAAAAAAGhEg/NsiI_f-ZDik/s72-c/CEO%2Band%2BRAS%2B.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa Statoil Hulge Lund (Kushoto) akitumia moja ya kompyuta za maabara itakayotumika kuendeleza vijana wa Mtwara katika shindano la Mashujaa wa Kesho linaloendeshwa na Statoil. Kulia ni Katibu tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Alfred Luanda na katikati ni mmoja wa wanafunzi waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa shindano hilo.
Baadhi ya vijana waliohudhulia hafla hiyo katika Maabara ya komputa zilizounganishwa katika mtandao wa intanet, komputa hizo zitatumika kuwafundisha vijana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rmu0fSrMS3Q/VILVLimOMAI/AAAAAAACwA4/SzkPnvsuvo8/s72-c/Picha%2B1%2C%2BMkurugenzi%2Bwa%2BKampuni%2Bya%2Bstatoil%2Bbwana%2BOystein%2BMichelsen.jpg)
STATOIL YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO
Bwana Nassibu Hamimu Lilumba ameibuka mshindi wa shindano la Mashujaa wa Kesho baada ya kutoa wazo la biashara na kIsha kuandaa mpango wa biashara na kutoa maelezo yake katika jopo la majaji. Mshindi alizawadiwa fedha...
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Statoil yaendesha mafunzo ya ujasiriamali
MAFUNZO ya elimu ya ujasiriamali kwa washiriki wa shindano la Mashujaa wa kesho yaliyoratibiwa na kampuniya Statoil Tanzania kwa ajili ya kukuza ubunifu wa kibiashara kwa vijana wa Mtwara, yamemalizika....
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kampuni yaajiri vijana Mtwara
KAMPUNI ya Supply Base Solutions Ltd (SBS) inayokusanya taka za baharini zinazosababishwa na uchimbaji wa gesi na mafuta mkoani Mtwara, imetoa kipaumbele cha ajira kwa wakazi waishio jirani na kampuni...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d-Q50Mk70tU/Ux2NAcuWZ8I/AAAAAAAFSl8/GTm3VbZmPtw/s72-c/IMG_3007.jpg)
morogoro mambo mswano, mpunga kibao
![](http://3.bp.blogspot.com/-d-Q50Mk70tU/Ux2NAcuWZ8I/AAAAAAAFSl8/GTm3VbZmPtw/s1600/IMG_3007.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BIEWYApG3ZU/Ux2M_V7VNII/AAAAAAAFSl4/ZpywuIX7MrE/s1600/IMG_3008.jpg)
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
TFF yatikiwa kuwaendeleza vijana wa ARS
Baadhi wa washiriki wa kliniki ya soka ya Kimataifa ya Airtel Rising Stars wakifuatilia kwa umakini mafunzo ya darasani kwenye uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.
Wachezaji nyota wa zamani wa timu ya Taifa, Taifa Stars Zamoyoni Mogella na Abeid Mziba, wakisalimiana na washiriki wa kliniki ya soka ya Kimataifa ya Airtel Rising Stars inayoendelea kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Mchezaji nyota wa zamani wa timu ya Taifa, Taifa Stars Zamoyoni Mogella, akiongea na washiriki wa kliniki ya...
10 years ago
GPLBAYPORT FINANCIAL SERVICES YAENDESHA SHINDANO LA KUKOPA PESA KWA NJIA YA MTANDAO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0FgnF_211YY/VZuSg8FOdCI/AAAAAAAHngM/YACauso28VM/s72-c/MMGL0614.jpg)
MAMBO YAANZA KUWA MSWANO UKUMBI MPYA WA CCM MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0FgnF_211YY/VZuSg8FOdCI/AAAAAAAHngM/YACauso28VM/s640/MMGL0614.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kuIWNv0lR8I/VZuSB3jmYFI/AAAAAAAHnes/9kJxiefW5-o/s640/MMGL0552.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vRGXJJ8NdcA/VZuSCN4V3UI/AAAAAAAHnew/jJJTl3H37v0/s640/MMGL0550.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dPtiAxQVkyU/VZuSfepFlRI/AAAAAAAHngA/cAQN4fRLUEg/s640/MMGL0607.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3FdJrAuZ5Jw/VZuSOLUOm9I/AAAAAAAHnfM/6EWX5uPcGe4/s640/MMGL0582.jpg)
10 years ago
TheCitizen30 Sep
Could Statoil bring new hope to Mtwara's youth?
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/01/132.jpg)
KAMPUNI YA CHINA WORLD BUZ YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA JIJINI ARUSHA