TFF yatikiwa kuwaendeleza vijana wa ARS
Baadhi wa washiriki wa kliniki ya soka ya Kimataifa ya Airtel Rising Stars wakifuatilia kwa umakini mafunzo ya darasani kwenye uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.
Wachezaji nyota wa zamani wa timu ya Taifa, Taifa Stars Zamoyoni Mogella na Abeid Mziba, wakisalimiana na washiriki wa kliniki ya soka ya Kimataifa ya Airtel Rising Stars inayoendelea kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Mchezaji nyota wa zamani wa timu ya Taifa, Taifa Stars Zamoyoni Mogella, akiongea na washiriki wa kliniki ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r9XOCoKRNuw/VAx68IZDBVI/AAAAAAAGhEg/NsiI_f-ZDik/s72-c/CEO%2Band%2BRAS%2B.jpg)
mambo ni mswano kwa vijana wa mtwara, kampuni ya Statoil yaendesha shindano la kuwaendeleza
![](http://2.bp.blogspot.com/-r9XOCoKRNuw/VAx68IZDBVI/AAAAAAAGhEg/NsiI_f-ZDik/s1600/CEO%2Band%2BRAS%2B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hHaB5a1aiTc/VAx663VnkuI/AAAAAAAGhEY/B_YxixqeAAw/s1600/Heros%2Bof%2BTomorrow%2BLab%2B.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AqE7PsJYFdI/VY0kXctFiUI/AAAAAAAHkNQ/wrvxjJ1mqP8/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
TFF YAFUNGUA KOZI YA MAKOCHA WA VIJANA
Akifungua kozi hiyo, Katibu Mkuu wa TFF Mwesigwa Selestine amesema ili nchi/Taifa lifanikiwe katika soka ni lazima kuwekeza katika mpira wa watoto na vijana ambao makocha hao ni sehemu ya uwekezaji huo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-AqE7PsJYFdI/VY0kXctFiUI/AAAAAAAHkNQ/wrvxjJ1mqP8/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi26 Feb
kampuni ya kuzalisha umeme ya SYMBION KUSAIDIA PROGRAMU ZA VIJANA TFF
![](https://2.bp.blogspot.com/-eVPl6SLmRRk/Uw3KuFXRTMI/AAAAAAAA_b0/ZzcgTnhsFg0/s1600/TFF1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lQiEpsWVXLo/U5rwhTOyItI/AAAAAAAFqWY/o2bJCwrsy8E/s72-c/download.jpg)
TFF YAINGILIA KATI KUOKOA MASHINDANO YA VIJANA UKANDA WA MAZIWA MAKUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lQiEpsWVXLo/U5rwhTOyItI/AAAAAAAFqWY/o2bJCwrsy8E/s1600/download.jpg)
Mashindano hayo ya wazi hufanyika kila mwaka mkoani Arusha mwaka huu yatafanyika jijini dar es salaam na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mykYb_A5mMI/Xr6HuaBDzvI/AAAAAAALqVc/wrTLFOVC4WA5wo0dYyDyoafcK0VaaoD7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200326_123154-730x375.jpg)
TAKUKURU YAWAAMURU VIONGOZI WA TFF KUREJESHA FEDHA ALIZOZITOA RAIS MAGUFULI KUSAIDIA MAANDALIZI MICHUANO YA VIJANA AFCON
Yassir Simba, Michuzi Tv
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imewataka maofisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFG kuzirejesha fedha walizochukua kabla hatia nyingine hazijafuata.
Hatua hiyo imekuja baada ya TAKUKURU kudai Shirikisho limekuwa na matumizi mabaya ya fedha ikiwemo fedha zilizotolewa na Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya AFCON ya Vijana chini ya Miaka 17 yaliyofanyika mwaka jana hapa nchini.
Akizungumza na vyombo vya...
9 years ago
Habarileo16 Sep
Mwanza yaiadhibu Moro ARS
TIMU ya wavulana ya Mwanza jana iliiadhibu Morogoro kwa mabao 3-1 katika michuano ya vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars ngazi ya Taifa inayoendelea kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Mabingwa ARS wajazwa noti
TIMU ya soka ya wasichana ya Tanzania Airtel Rising Stars, imekabidhiwa zawadi yake ya kitita cha sh milioni 16 baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya vijana chini ya miaka...
9 years ago
MichuziTEMEKE WATINGA FAINALI ARS.
9 years ago
Habarileo25 Aug
Mabingwa ARS Dar wazawadiwa
MICHUANO ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars (ARS) kwa mikoa ya kisoka ya Ilala, Kinondoni na Temeke, imefungwa rasmi jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam ambako mabingwa walikabidhiwa zawadi zao.