Mabingwa ARS wajazwa noti
TIMU ya soka ya wasichana ya Tanzania Airtel Rising Stars, imekabidhiwa zawadi yake ya kitita cha sh milioni 16 baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya vijana chini ya miaka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bsq64rKiMmo/UvniIFn5EBI/AAAAAAAFMUs/yopRb447apI/s72-c/Pict+1.jpg)
Mabingwa Airtel Rising Stars wasichana wajazwa noti
![](http://3.bp.blogspot.com/-bsq64rKiMmo/UvniIFn5EBI/AAAAAAAFMUs/yopRb447apI/s1600/Pict+1.jpg)
Timu hiyo ilitwaa taji hilo baada ya kuifunga Kenya bao 1-0 lililofungwa na Donisia Daniel katika fainali hiyo.
Akipokea fedha hizo jana (Februari 10, 2014) Katibu wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Msanifu Kondo alisema wanaishukuru...
9 years ago
Habarileo25 Aug
Mabingwa ARS Dar wazawadiwa
MICHUANO ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars (ARS) kwa mikoa ya kisoka ya Ilala, Kinondoni na Temeke, imefungwa rasmi jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam ambako mabingwa walikabidhiwa zawadi zao.
9 years ago
Habarileo22 Sep
Temeke mabingwa Kombe la ARS 2015
MICHUANO ya soka ya Airtel Rising Stars kwa vijana chini ya umri wa miaka 17, ilifikia tamati ambapo timu ya wasichana ya Temeke walitwaa ubingwa baada ya kuwafunga majirani zao wa Kinondoni kwa penalti.
9 years ago
Habarileo23 Sep
Ilala, Temeke mabingwa ARS 2015
PAZIA la michuano taifa ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars Jumatatu wiki hii, lilifungwa rasmi ambapo Ilala walitoa kipigo cha mbwa mwizi cha magoli 4-0 dhidi ya Mbeya na kufanikiwa kutwaa ubingwa kwa upande wa wavulana, huku kwa upande wa wasichana,Temeke walifanikiwa kutwaa ubingwa baada ya kuwafunga majirani zao wa Kinondoni.
9 years ago
Habarileo29 Aug
Kinondoni, Ilala mabingwa ARS Dar
MICHUANO ya vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars (ARS) Mkoa wa Dar es Salaam chini ya Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), ilimalizika rasmi jana baada ya kushuhudia Kinondoni wakiibuka mabingwa kwa upande wa wasichana huku kwa upande wa wavulana Ilala wakiibuka mabingwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pdQ6kY_33W4/XnMxUXt7CGI/AAAAAAALkZ8/8TuBqBbszRAifZi-IWmVraN73LYba9BUwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA.jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Simba wajazwa ‘manoti’
10 years ago
TheCitizen19 Aug
Kinondoni clinch ARS silverware
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Kliniki ARS yafikia tamati
KLINIKI ya siku tano ya kimataifa ya Airtel Rising Stars (ARS), imefikia tamati jana, huku washiriki wakiwa na shauku kubwa ya kutumia ujuzi waliopata kwa kuwa nyota wa soka kwenye...