Ilala, Temeke mabingwa ARS 2015
PAZIA la michuano taifa ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars Jumatatu wiki hii, lilifungwa rasmi ambapo Ilala walitoa kipigo cha mbwa mwizi cha magoli 4-0 dhidi ya Mbeya na kufanikiwa kutwaa ubingwa kwa upande wa wavulana, huku kwa upande wa wasichana,Temeke walifanikiwa kutwaa ubingwa baada ya kuwafunga majirani zao wa Kinondoni.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo22 Sep
Temeke mabingwa Kombe la ARS 2015
MICHUANO ya soka ya Airtel Rising Stars kwa vijana chini ya umri wa miaka 17, ilifikia tamati ambapo timu ya wasichana ya Temeke walitwaa ubingwa baada ya kuwafunga majirani zao wa Kinondoni kwa penalti.
9 years ago
Habarileo29 Aug
Kinondoni, Ilala mabingwa ARS Dar
MICHUANO ya vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars (ARS) Mkoa wa Dar es Salaam chini ya Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), ilimalizika rasmi jana baada ya kushuhudia Kinondoni wakiibuka mabingwa kwa upande wa wasichana huku kwa upande wa wavulana Ilala wakiibuka mabingwa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JavkVuJ1MN4/VRm4eDRqY1I/AAAAAAAHOdA/VYcvCmDCP84/s72-c/unnamedm.jpg)
Kilwa Road Bar Mabingwa Safari Nyama Choma 2015 Dar One Temeke.
![](http://1.bp.blogspot.com/-JavkVuJ1MN4/VRm4eDRqY1I/AAAAAAAHOdA/VYcvCmDCP84/s1600/unnamedm.jpg)
Na Mwandishi Wetu.
KILWA ROAD Bar Dar One Temeke jijini Dar es Saalaam wameibuka mabingwa katika...
9 years ago
MichuziTEMEKE WATINGA FAINALI ARS.
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Mabingwa ARS wajazwa noti
TIMU ya soka ya wasichana ya Tanzania Airtel Rising Stars, imekabidhiwa zawadi yake ya kitita cha sh milioni 16 baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya vijana chini ya miaka...
9 years ago
Habarileo25 Aug
Mabingwa ARS Dar wazawadiwa
MICHUANO ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars (ARS) kwa mikoa ya kisoka ya Ilala, Kinondoni na Temeke, imefungwa rasmi jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam ambako mabingwa walikabidhiwa zawadi zao.
9 years ago
Habarileo08 Sep
Temeke yaahidi ubingwa tena ARS
TIMU ya wasichana ya mkoa wa kisoka wa Temeke imetamba kutetea ubingwa wa michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars itakayopigwa kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Dar es Salaam.
10 years ago
TheCitizen19 Aug
SOCCER: Temeke girls are the ARS champions
10 years ago
MichuziMakundi 5 yang'ara ndani ya Temeke kwenye usaili wa kwanza Dance 100% 2015 Temeke
![](http://3.bp.blogspot.com/-XPdO8YyqAFc/VbW6nkYPD1I/AAAAAAAAa-A/BKGhxcxMLwU/s640/Kati%2Bya%2Bmakundi%2Bmatano%2Byaliyopita%2Bkwenye%2Busajili%2Bwa%2Bkwanza%2Bwa%2BDance%2B100%2525%2B%25282015%2529%2B-%2BTemeke.%2BKundi%2Blinaitwa%2B%2527The%2BBest%2BBoys%2BKaka%2BZao%2527.jpg)
Makundi haya yamechuana vikali na mengine 6 yanayokamilisha idadi ya makundi 11, UNI 6 Crew, GMF Crew, TWC, Dar Crew, Noma Sana Crew, na Viga Stars yaliyojitokeza kuwania nafasi hiyo katika usajili huo wa kwanza.
Mratibu wa...