Mabingwa ARS Dar wazawadiwa
MICHUANO ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars (ARS) kwa mikoa ya kisoka ya Ilala, Kinondoni na Temeke, imefungwa rasmi jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam ambako mabingwa walikabidhiwa zawadi zao.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Aug
Kinondoni, Ilala mabingwa ARS Dar
MICHUANO ya vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars (ARS) Mkoa wa Dar es Salaam chini ya Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), ilimalizika rasmi jana baada ya kushuhudia Kinondoni wakiibuka mabingwa kwa upande wa wasichana huku kwa upande wa wavulana Ilala wakiibuka mabingwa.
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Mabingwa ARS wajazwa noti
TIMU ya soka ya wasichana ya Tanzania Airtel Rising Stars, imekabidhiwa zawadi yake ya kitita cha sh milioni 16 baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya vijana chini ya miaka...
9 years ago
Habarileo23 Sep
Ilala, Temeke mabingwa ARS 2015
PAZIA la michuano taifa ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars Jumatatu wiki hii, lilifungwa rasmi ambapo Ilala walitoa kipigo cha mbwa mwizi cha magoli 4-0 dhidi ya Mbeya na kufanikiwa kutwaa ubingwa kwa upande wa wavulana, huku kwa upande wa wasichana,Temeke walifanikiwa kutwaa ubingwa baada ya kuwafunga majirani zao wa Kinondoni.
9 years ago
Habarileo22 Sep
Temeke mabingwa Kombe la ARS 2015
MICHUANO ya soka ya Airtel Rising Stars kwa vijana chini ya umri wa miaka 17, ilifikia tamati ambapo timu ya wasichana ya Temeke walitwaa ubingwa baada ya kuwafunga majirani zao wa Kinondoni kwa penalti.
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Shule, wanafunzi bora Dar wazawadiwa
KAIMU Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Raymond Mushi, amewataka viongozi wa elimu pamoja na wamiliki wa shule nchini kuwa na utaratibu wa kufanya tathimini za mara kwa mara...
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Washiriki kliniki ya ARS wawasili Dar
Meneja Uhusiano Airtel Tanzania Jackson Mmbando akiongea kwenye Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius mara ya kupokea timu ya Airtel Rising Stars kutoka Sierra Leone ambao watahudhuria kliniki ya soka ya kimataifa ya Manchester United itayoanza Jumatano, 23-27 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.
Mchezaji Fatmata Mansaray wa timu ya Airtel Rising Stars chini ya miaka 17 kutoka Sierra Leone, akiongea na waandishi wa habari baada ya kufika Dar es Salaam kuhudhuria kliniki ya soka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pVr7Hf0jJB4/VT6Q_GzAQlI/AAAAAAAHTsY/EMwKi0Gfle4/s72-c/unnamedbb.jpg)
Dar mabingwa mchezo wa vishale "Darts" Taifa
![](http://4.bp.blogspot.com/-pVr7Hf0jJB4/VT6Q_GzAQlI/AAAAAAAHTsY/EMwKi0Gfle4/s1600/unnamedbb.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1G3WBusK_GE/VT6RAMVrndI/AAAAAAAHTsc/TeHRlmIriLw/s1600/unnamedbbb.jpg)
10 years ago
MichuziDAR ES SALAAM YAWA MABINGWA MICHUANO YA UMISETA TAIFA.