Temeke yaahidi ubingwa tena ARS
TIMU ya wasichana ya mkoa wa kisoka wa Temeke imetamba kutetea ubingwa wa michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars itakayopigwa kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKinondoni yatwaa ubingwa ARS 2014
9 years ago
MichuziTEMEKE WATINGA FAINALI ARS.
9 years ago
Habarileo22 Sep
Temeke mabingwa Kombe la ARS 2015
MICHUANO ya soka ya Airtel Rising Stars kwa vijana chini ya umri wa miaka 17, ilifikia tamati ambapo timu ya wasichana ya Temeke walitwaa ubingwa baada ya kuwafunga majirani zao wa Kinondoni kwa penalti.
10 years ago
TheCitizen19 Aug
SOCCER: Temeke girls are the ARS champions
9 years ago
Habarileo23 Sep
Ilala, Temeke mabingwa ARS 2015
PAZIA la michuano taifa ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars Jumatatu wiki hii, lilifungwa rasmi ambapo Ilala walitoa kipigo cha mbwa mwizi cha magoli 4-0 dhidi ya Mbeya na kufanikiwa kutwaa ubingwa kwa upande wa wavulana, huku kwa upande wa wasichana,Temeke walifanikiwa kutwaa ubingwa baada ya kuwafunga majirani zao wa Kinondoni.
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
TEMEKE yatwaa ubingwa TAIFA CUP
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TpCBNzkW46o/VM-1Y7c5lEI/AAAAAAAHBHs/DIaPCmLAAIk/s72-c/tmk-788181.jpg)
DRFA YAIFAGILIA TEMEKE KUTWAA UBINGWA TAIFA CUP
![](http://1.bp.blogspot.com/-TpCBNzkW46o/VM-1Y7c5lEI/AAAAAAAHBHs/DIaPCmLAAIk/s1600/tmk-788181.jpg)
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
Mgombea Ubunge Temeke (CCM) Mtemvu ahaidi neema akichaguliwa tena
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h5p2bHM8mNM/XlKk9X6q7nI/AAAAAAALe7g/1I8O22076GQAUq2J0hIfMcbPDSzZckgIwCLcBGAsYHQ/s72-c/tariq%252Bpic.jpg)
MATOKEO YA SARE NNE MFULULIZO KWA TIMU YA YANGA YAPOTEZA MATUMAINI YA MBIO ZA UBINGWA...YATOA TENA SARE KWA COASTAL UNION ...
Yassir Simba, Michuzi Tv
MATUMAINIA ya timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam kuwamo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu yamezidi kuyeyuka baada ya mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union a.k.a Wagosi Wakaya kumaliza kwa sare ya bila kufungana.
Mchezo wa Yanga dhidi ya Coastal Union umefanyika leo Februari 23 mwaka huu wa 2020 ambapo kila timu ilionekana kuhitaji kuibuka na ushindi wa alama tatu lakini hadi dakika 90 zimalizika wamemaliza kwa kupata...