Kinondoni yatwaa ubingwa ARS 2014
Naibu katibu mkuu wa wizara ya habari ,utamaduni na michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akimkabidhi kombe la ubingwa wa Airtel Rising Stars 2014 nahodha wa timu ya wasichana ya Temeke Fatuma Issa baada ya kuibuka mabingwa. naeshudia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania Sunil Colaso.
Makamu mwnyekiti wa chama cha soka cha wanawake Tanzania Rose Kisiwa akimkabidhi kombe la ubingwa wa Airtel Rising Stars 2014 nahodha wa timu ya mkoa wa kisoka Kinondoni Fred Mazuri Baada ya kuibamiza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo08 Sep
Temeke yaahidi ubingwa tena ARS
TIMU ya wasichana ya mkoa wa kisoka wa Temeke imetamba kutetea ubingwa wa michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars itakayopigwa kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Dar es Salaam.
10 years ago
TheCitizen19 Aug
Kinondoni clinch ARS silverware
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7uSGFwEqGhA/U3AOhccHPUI/AAAAAAAFg_U/VDsAHCyFdY4/s72-c/article-2625679-1DC0C65900000578-809_638x450.jpg)
Manchester City yatwaa ubingwa wa Uingereza
![](http://4.bp.blogspot.com/-7uSGFwEqGhA/U3AOhccHPUI/AAAAAAAFg_U/VDsAHCyFdY4/s1600/article-2625679-1DC0C65900000578-809_638x450.jpg)
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
TEMEKE yatwaa ubingwa TAIFA CUP
10 years ago
StarTV09 Feb
Ivory Coast yatwaa ubingwa wa Afrika
vory Coast wamekuwa mabingwa wapya wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2015 baada ya kufuinga Ghana kwa penalti 9 – 8 katika mchezo wa fainali ulichezwa katika uwanja wa Estadio de Bata huko Equatorial Guinea.
cialis nitratoMlinda Mlango wa Ivory Coast Boubacar Barry ambaye alikuwa hapangwi mara kwa mara lakini ndiye aliyeibeba Ivory Coast baada ya kudaka penati na kufunga penalti ya mwisho
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGUndM1*RdKUUm7QHBnwCLUnTTmMMcar1OsEEnQLl9414vnZA4ZxPK6NjN9V4oMnpbPmJZNG72jUwRnoQ9WWUtD/mancity.jpg?width=600)
MAN CITY YATWAA UBINGWA WA CAPITAL ONE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-r_d8f0aJkPQ/XnEdOcaVdbI/AAAAAAALkME/Wee6dbP0mDk_JEtIOtChIkMdbGvPcX_CgCLcBGAsYHQ/s72-c/blue.jpg)
Bluefins yatwaa ubingwa kuogelea ya Mwanza
![](https://1.bp.blogspot.com/-r_d8f0aJkPQ/XnEdOcaVdbI/AAAAAAALkME/Wee6dbP0mDk_JEtIOtChIkMdbGvPcX_CgCLcBGAsYHQ/s640/blue.jpg)
Waogeleaji wa klabu ya Bluefins wakishangilia baada ya kushinda mashindano ya kuogelea ya Mwanza yaliyofanyika kwenye bwawa la kuogelea la Isamilo.
**************************
Dar es Salaam. Klabu ya Bluefins ya Dar es Salaam imefanikiwa kunyakua ubingwa wa mashindano ya kuogelea ya mkoa wa Mwanza yajulikanayo kwa jina la Isamilo swimming championships.
Kwa ushindi huo, Bluefins inakuwa klabu pekee Tanzania kufanikiwa kutwaa ubingwa mara mbili katika mashindano matatu yaliyokwisha fanyika...
9 years ago
Habarileo29 Aug
Kinondoni, Ilala mabingwa ARS Dar
MICHUANO ya vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars (ARS) Mkoa wa Dar es Salaam chini ya Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), ilimalizika rasmi jana baada ya kushuhudia Kinondoni wakiibuka mabingwa kwa upande wa wasichana huku kwa upande wa wavulana Ilala wakiibuka mabingwa.