Bluefins yatwaa ubingwa kuogelea ya Mwanza
![](https://1.bp.blogspot.com/-r_d8f0aJkPQ/XnEdOcaVdbI/AAAAAAALkME/Wee6dbP0mDk_JEtIOtChIkMdbGvPcX_CgCLcBGAsYHQ/s72-c/blue.jpg)
Waogeleaji wa klabu ya Bluefins wakishangilia baada ya kushinda mashindano ya kuogelea ya Mwanza yaliyofanyika kwenye bwawa la kuogelea la Isamilo.
**************************
Dar es Salaam. Klabu ya Bluefins ya Dar es Salaam imefanikiwa kunyakua ubingwa wa mashindano ya kuogelea ya mkoa wa Mwanza yajulikanayo kwa jina la Isamilo swimming championships.
Kwa ushindi huo, Bluefins inakuwa klabu pekee Tanzania kufanikiwa kutwaa ubingwa mara mbili katika mashindano matatu yaliyokwisha fanyika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKinondoni yatwaa ubingwa ARS 2014
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
TEMEKE yatwaa ubingwa TAIFA CUP
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7uSGFwEqGhA/U3AOhccHPUI/AAAAAAAFg_U/VDsAHCyFdY4/s72-c/article-2625679-1DC0C65900000578-809_638x450.jpg)
Manchester City yatwaa ubingwa wa Uingereza
![](http://4.bp.blogspot.com/-7uSGFwEqGhA/U3AOhccHPUI/AAAAAAAFg_U/VDsAHCyFdY4/s1600/article-2625679-1DC0C65900000578-809_638x450.jpg)
10 years ago
StarTV09 Feb
Ivory Coast yatwaa ubingwa wa Afrika
vory Coast wamekuwa mabingwa wapya wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2015 baada ya kufuinga Ghana kwa penalti 9 – 8 katika mchezo wa fainali ulichezwa katika uwanja wa Estadio de Bata huko Equatorial Guinea.
cialis nitratoMlinda Mlango wa Ivory Coast Boubacar Barry ambaye alikuwa hapangwi mara kwa mara lakini ndiye aliyeibeba Ivory Coast baada ya kudaka penati na kufunga penalti ya mwisho
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGUndM1*RdKUUm7QHBnwCLUnTTmMMcar1OsEEnQLl9414vnZA4ZxPK6NjN9V4oMnpbPmJZNG72jUwRnoQ9WWUtD/mancity.jpg?width=600)
MAN CITY YATWAA UBINGWA WA CAPITAL ONE
11 years ago
Michuzi11 Aug
Timu ya Quebec Yatwaa Ubingwa wa Mbagala Cup
![Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia na Mawasiliano Mamlaka ya Bandari (TPA) ambaye pia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Temeke (MNEC), Phares Magesa pamoja na Mlezi wa Mashindano hayo, Emmanuel John wakikabidhi zawadi ya mbuzi kwa washindi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0399.jpg)
![Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia na Mawasiliano Mamlaka ya Bandari (TPA) ambaye pia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Temeke (MNEC), Phares Magesa akikabidhi zawadi ya jezi na mpira kwa washindi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0396.jpg)
10 years ago
StarTV04 May
Chelsea yatwaa ubingwa Ligi Kuu England
imu ya Chelsea imeibuka mabingwa wa ligi kuu ya England, baada ya kuifunga Crystal Palace bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Stamford Bridge. Bao la Chelsea lilifungwa katika dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza cha mchezo, likifungwa Eden Hazard.
Chelsea ilihitaji pointi tatu kutangazwa mabingwa wa ligi kuu ya England. Chelsea imetwaa ubingwa huo ikiwa bado na michezo mitatu, ikiwa imejikusanyia pointi 83 ikifuatiwa na mabingwa wa msimu uliopita Manchester City yenye pointi...
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Rwanda yatwaa ubingwa Cecafa, waandika historia hii
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Timu ya taifa ya Uganda (The Cranes -Pichani) imetwaa ubingwa wa mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayohusisha timu za Afrika Mashariki na Kati baada ya kuifunga timu ya taifa ya Rwanda goli 1 kwa bila.
Katika mchezo huo ulionekana wa kushambuliana kwa zamu timu ya Uganda ilipata goli lake la ushindi kupitia kwa mchezaji wake Caecer Okhuti katika dakika ya 15 goli ambalo limedumu hadi dakika ya mwisho ya mchezo huo.
Baada ya ushindi huo Uganda imezidi kutamba...