Rwanda yatwaa ubingwa Cecafa, waandika historia hii
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Timu ya taifa ya Uganda (The Cranes -Pichani) imetwaa ubingwa wa mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayohusisha timu za Afrika Mashariki na Kati baada ya kuifunga timu ya taifa ya Rwanda goli 1 kwa bila.
Katika mchezo huo ulionekana wa kushambuliana kwa zamu timu ya Uganda ilipata goli lake la ushindi kupitia kwa mchezaji wake Caecer Okhuti katika dakika ya 15 goli ambalo limedumu hadi dakika ya mwisho ya mchezo huo.
Baada ya ushindi huo Uganda imezidi kutamba...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9POSW8MFFKc/Vb5Vu6LuP5I/AAAAAAAHtYg/j17jK4kS36c/s72-c/MMGL0703.jpg)
AZAM FC YATWAA UBINGWA WA CECAFA KAGAME CUP 2015 KWA KUICHAPA GOR MAHIA YA KENYA BAO 2-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-9POSW8MFFKc/Vb5Vu6LuP5I/AAAAAAAHtYg/j17jK4kS36c/s640/MMGL0703.jpg)
Wachezaji wa timu ya Azam FC ya jijini Dar es salaam wakisherehekea ubingwa wao wa Kombe la Cecafa Kagame Cup 2015, mara baada ya kuitungua timu ya Gor Mahia ya nchini Kenya Bao 2-0, katika mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2WFohPZhZl0/Vb5VsqDnH4I/AAAAAAAHtYI/udQI2KGBnpM/s640/MMGL0595.jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Diamond, Vannesa waandika historia
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Upinzani waandika historia mpya
10 years ago
MichuziKinondoni yatwaa ubingwa ARS 2014
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-r_d8f0aJkPQ/XnEdOcaVdbI/AAAAAAALkME/Wee6dbP0mDk_JEtIOtChIkMdbGvPcX_CgCLcBGAsYHQ/s72-c/blue.jpg)
Bluefins yatwaa ubingwa kuogelea ya Mwanza
![](https://1.bp.blogspot.com/-r_d8f0aJkPQ/XnEdOcaVdbI/AAAAAAALkME/Wee6dbP0mDk_JEtIOtChIkMdbGvPcX_CgCLcBGAsYHQ/s640/blue.jpg)
Waogeleaji wa klabu ya Bluefins wakishangilia baada ya kushinda mashindano ya kuogelea ya Mwanza yaliyofanyika kwenye bwawa la kuogelea la Isamilo.
**************************
Dar es Salaam. Klabu ya Bluefins ya Dar es Salaam imefanikiwa kunyakua ubingwa wa mashindano ya kuogelea ya mkoa wa Mwanza yajulikanayo kwa jina la Isamilo swimming championships.
Kwa ushindi huo, Bluefins inakuwa klabu pekee Tanzania kufanikiwa kutwaa ubingwa mara mbili katika mashindano matatu yaliyokwisha fanyika...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7uSGFwEqGhA/U3AOhccHPUI/AAAAAAAFg_U/VDsAHCyFdY4/s72-c/article-2625679-1DC0C65900000578-809_638x450.jpg)
Manchester City yatwaa ubingwa wa Uingereza
![](http://4.bp.blogspot.com/-7uSGFwEqGhA/U3AOhccHPUI/AAAAAAAFg_U/VDsAHCyFdY4/s1600/article-2625679-1DC0C65900000578-809_638x450.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGUndM1*RdKUUm7QHBnwCLUnTTmMMcar1OsEEnQLl9414vnZA4ZxPK6NjN9V4oMnpbPmJZNG72jUwRnoQ9WWUtD/mancity.jpg?width=600)
MAN CITY YATWAA UBINGWA WA CAPITAL ONE
10 years ago
StarTV09 Feb
Ivory Coast yatwaa ubingwa wa Afrika
vory Coast wamekuwa mabingwa wapya wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2015 baada ya kufuinga Ghana kwa penalti 9 – 8 katika mchezo wa fainali ulichezwa katika uwanja wa Estadio de Bata huko Equatorial Guinea.
cialis nitratoMlinda Mlango wa Ivory Coast Boubacar Barry ambaye alikuwa hapangwi mara kwa mara lakini ndiye aliyeibeba Ivory Coast baada ya kudaka penati na kufunga penalti ya mwisho
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
TEMEKE yatwaa ubingwa TAIFA CUP