Upinzani waandika historia mpya
Vyama vya upinzani vimeandika historia mpya tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, baada ya vyama vinne vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutiliana saini makubaliano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Diamond, Vannesa waandika historia
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Rwanda yatwaa ubingwa Cecafa, waandika historia hii
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Timu ya taifa ya Uganda (The Cranes -Pichani) imetwaa ubingwa wa mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayohusisha timu za Afrika Mashariki na Kati baada ya kuifunga timu ya taifa ya Rwanda goli 1 kwa bila.
Katika mchezo huo ulionekana wa kushambuliana kwa zamu timu ya Uganda ilipata goli lake la ushindi kupitia kwa mchezaji wake Caecer Okhuti katika dakika ya 15 goli ambalo limedumu hadi dakika ya mwisho ya mchezo huo.
Baada ya ushindi huo Uganda imezidi kutamba...
9 years ago
Bongo523 Oct
Yamoto Band waandika wimbo mpya wa Dully Sykes
10 years ago
Mtanzania09 Oct
Historia yaandikwa Katiba Mpya
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Samuel Sitta
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
HISTORIA mpya imeandikwa Tanzania baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kukabidhi Katiba inayopendekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein mjini Dodoma.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana mjini Dodoma, katika sherehe zilizoanza saa 8 mchana yakitanguliwa na burudani kutoka vikundi mbalimbali huku wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba wakiwa katika sare maalumu ya vitenge maarufu vya...
9 years ago
BBCSwahili12 Sep
Upinzani Uingereza wana kiongozi mpya
10 years ago
BBCSwahili29 May
Historia fupi ya rais mpya wa Nigeria
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Sheria mpya yaanza kutumika TZ licha ya upinzani
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Diamond: Nitaandika historia mpya Dar Live
Diamond akiwasalimia mashabiki wake, juzi katika eneo la Karume, Ilala jijini Dar.
Musa Mateja
ZIKIWA zimesalia saa kadhaa kufika Sikukuu ya Krismasi ambapo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar kutakuwa na burudani kabambe, staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amesema kuwa siku hiyo ataandika historia mpya.
Akizungumza na waandishi wa habari eneo la Karume, Ilala jijini Dar, Diamond ambaye siku hiyo ataongozana na madansa...
10 years ago
Mwananchi02 Mar
Timu mpya zitakazoleta upinzani Ligi Kuu Bara