Historia yaandikwa Katiba Mpya
Samuel Sitta
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
HISTORIA mpya imeandikwa Tanzania baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kukabidhi Katiba inayopendekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein mjini Dodoma.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana mjini Dodoma, katika sherehe zilizoanza saa 8 mchana yakitanguliwa na burudani kutoka vikundi mbalimbali huku wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba wakiwa katika sare maalumu ya vitenge maarufu vya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-erFma2yaLY8/VSGBe080HpI/AAAAAAADhKE/PZAuTMnRkCA/s72-c/unnamed.jpg)
HISTORIA YAANDIKWA MJINI ADDIS ABABA- WHEN PRINCE OF SWAHILI BLUES MET THE LEGENDARY KING OF ETHIO JAZZ
![](http://2.bp.blogspot.com/-erFma2yaLY8/VSGBe080HpI/AAAAAAADhKE/PZAuTMnRkCA/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RMm802hP99g/VSGBjYOj8rI/AAAAAAADhKc/zQaxuIfS974/s1600/unnamed-1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HovvLRR6jKg/VSGBjZ70AII/AAAAAAADhKQ/71VBiM5giVM/s1600/unnamed-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fc4c9xKmEAY/VSGBjXaSbKI/AAAAAAADhKM/PmlTTtQabqI/s1600/unnamed-3.jpg)
Shabiki kutoka Brazil akimpongeza Dr Mulatu
Dr Mulatu na Leo wakishambulia jukwaa
![](http://1.bp.blogspot.com/-kjY8ODK08jE/VSGEwQvBVII/AAAAAAADhKo/cCHx97p2hQY/s1600/unnamed-4.jpg)
Siku ya Jumamosi ya tarehe 4 April 2015 mjini Addis Ababa, historia iliandikwa pale...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s72-c/IMG_1901.jpg)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s1600/IMG_1901.jpg)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
![](http://4.bp.blogspot.com/-sq5B5OozAMU/U8gvn-BR5AI/AAAAAAAA9rI/vAXGlkoA78g/s1600/IMG_1950.jpg)
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-M28s6kVPyoc/U8gviRciOpI/AAAAAAAA9q4/r0qaKcHaND8/s1600/IMG_1936.jpg)
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-McpOCDMYJC8/U8gvfVKJWzI/AAAAAAAA9qw/brBrfUklC2g/s1600/IMG_1920.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LEOwJM6ut50/U8gvb6GfPPI/AAAAAAAA9qo/4nE-b3qltBc/s1600/IMG_1910.jpg)
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppCXkPGFUo0qQzBZB8o-*g9PeqJUANfIlAPNWZ8Ul7-g4aYgdFm-EtaPeGIWbknoforuS5LhtN-knLU7stPYCcvp/jk1.jpg?width=650)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya
10 years ago
Mwananchi03 May
MCHAKATO WA KATIBA MPYA: Katiba Mpya ilivyoligawa Taifa
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Upinzani waandika historia mpya
10 years ago
BBCSwahili29 May
Historia fupi ya rais mpya wa Nigeria
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Diamond: Nitaandika historia mpya Dar Live
Diamond akiwasalimia mashabiki wake, juzi katika eneo la Karume, Ilala jijini Dar.
Musa Mateja
ZIKIWA zimesalia saa kadhaa kufika Sikukuu ya Krismasi ambapo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar kutakuwa na burudani kabambe, staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amesema kuwa siku hiyo ataandika historia mpya.
Akizungumza na waandishi wa habari eneo la Karume, Ilala jijini Dar, Diamond ambaye siku hiyo ataongozana na madansa...
10 years ago
Mtanzania21 May
Wasanii kusaka historia mpya Tuzo za Kili, Juni 13
NA MWANDISHI WETU
WAKATI washindi wa vipengele mbalimbali katika tuzo za Kili Tanzania Music Awards 2015 (KTMA) wakitarajiwa kujulikana Juni 13 katika hafla ya ugawaji wa tuzo hizo, hakuna msanii atakayevunja rekodi ya Abdul Nassib (Diamond) kwa kuwa hakuna aliyeko katika vipengele saba.
Tuzo hizo zilizoanza mwaka 2000 hadi leo zina rekodi iliyowekwa na Diamond ya kunyakua tuzo saba mwaka jana, mwaka huu amekutana na mchuano mkali baada ya kuingia katika vipengele sita akichuana na Ali Kiba...