Mabingwa Airtel Rising Stars wasichana wajazwa noti

TIMU ya wasichana ya Tanzania imekabidhiwa zawadi ya Sh milioni 16 baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya vijana walio chini ya umri wa miaka 17 ya Kimataifa ya Airtel Rising Stars iliyofanyika Septemba mwaka jana nchini Nigeria.
Timu hiyo ilitwaa taji hilo baada ya kuifunga Kenya bao 1-0 lililofungwa na Donisia Daniel katika fainali hiyo.
Akipokea fedha hizo jana (Februari 10, 2014) Katibu wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Msanifu Kondo alisema wanaishukuru...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Mabingwa ARS wajazwa noti
TIMU ya soka ya wasichana ya Tanzania Airtel Rising Stars, imekabidhiwa zawadi yake ya kitita cha sh milioni 16 baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya vijana chini ya miaka...
10 years ago
GPLWASICHANA WATOANA JASHO AIRTEL RISING STARS
10 years ago
MichuziALLIANCE, MARSH MABINGWA AIRTEL RISING STARS MWANZA
TIMU ya wavulana ya...
10 years ago
GPLALLIANCE, MARSH MABINGWA AIRTEL RISING STARS MZA
10 years ago
Michuzi
Timu ya soka ya wasichana ya Temeke yatinga Nusu fainali michuano ya Airtel Rising Stars


10 years ago
MichuziAirtel wakabidhi jezi kwa timu zitakazoshiriki michuano ya Airtel Rising Stars
10 years ago
GPLAIRTEL WAKABIDHI JEZI KWA TIMU ZITAKAZOSHIRIKI MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS
10 years ago
Michuzi
Mbaspo Academy mabingwa wa Airtel Rising Star mbeya


10 years ago
GPL
AIRTEL RISING STARS MBEYA