‘Maombi yamenipa mabao’
Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman amesema siri ya kuwa katika kasi ya ufungaji kwa sasa inatokana na maombi anayofanya kila siku.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39e8N-3OHhMIEnoOPXfjgPbQe4NNq2ta28oPA4ch6CkryGSQEIQIA4aMn6zDZcHoeB7XlTEj1RVYdnZEUQ4pwOjv/luissuarez.jpg)
SUAREZ BINGWA WA MABAO!
LICHA ya Liverpool kukosa ubingwa, lakini nyota wao Luis Suarez ametwaa kiatu cha mfungaji bora kwa kumaliza na mabao yake 31 akifuatiwa na Daniel Sturidge naye pia wa Liver mwenye mabao 21.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xEh6B1KdSWSyni*XgmxgOuy*BOg7Z7dYc6xBVyXcozVtntfjTYlFC4YrpIvsEsbLgHEOu0vfGC*5tFGCyD9wI-axWWuzDGqZ/loga.jpg)
Logarusic aja na mabao...
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Wilbert Molandi
KATIKA kuhakikisha timu yake inafunga mabao mengi katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amekuja na mbinu mpya kwenye kikosi chake.Kocha huyo ambaye raia wa Croatia, alianza kutoa mbinu hizo juzi Alhamisi kwenye mazoezi yake yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Ununio, Boko jijini Dar es Salaam. Kwenye mazoezi hayo, kocha huyo aliwapa...
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Lowassa: Nifungieni mabao 3-0
Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa amesema ili kupata ushindi Oktoba 25, anahitaji kupata ushindi wa mabao matatu bila, akimaanisha Ukawa ipate rais, wabunge na madiwani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2prk-Jxvm*XWW6tie4C6xGEdHBlge4eUoCNtFN58eIBAML7D5kJn4MKYDh8f78qFf-3-pubFZawopLybq6*rJtyw/yanga.jpg?width=650)
Matajiri wanunua mabao ya Yanga
Lucy Mgina na Martha Mboma
WANACHAMA wa Yanga Family wameahidi kununua kila bao litakalofungwa kwenye mechi ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly itakayopigwa Jumamosi ya wiki hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Yanga ilifanikiwa kuingia raundi ya kwanza ya michuano hiyo baada ya kuitoa Komorozine ya Comoro kwa jumla ya mabao 12-2. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya klabu hiyo kilisema kuwa kundi la...
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Lewandowski avunja rekodi ya mabao
Robert Lewandowski ameweka rekodi ya mabao matano yaliyofungwa kwa kasi zaidi na mchezaji mmoja Bundesliga.
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Kadi 14, mabao 12 yafungua msimu
Ligi Kuu Tanzania Bara ilianza mwishoni mwa wiki, huku bingwa mtetezi Yanga ikiongoza kwa pointi tatu, sawa na timu sita zenye pointi tatu pia.
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Mabao ya kujifunga yashamiri Brazil
Brazil. Dunia imeshuhudia mabao mengi ya kujifunga katika siku nne za kwanza za fainali za Kombe la Dunia 2014 kuliko yaliyofungwa katika fainali za 2010.
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Tambwe aanika siri ya mabao
Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe ametoa siri ya safu ya ushambuliaji ya timu hiyo kufanya vyema kwenye mechi mbalimbali za hivi karibuni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania