Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabao ya kujifunga yashamiri Brazil

Brazil. Dunia imeshuhudia mabao mengi ya kujifunga katika siku nne za kwanza za fainali za Kombe la Dunia 2014 kuliko yaliyofungwa katika fainali za 2010.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

'Kimbunga' cha mabao chapiga Brazil

Kilio, aibu na shangwe ndio sura iliyokumba nusu fainali ya kwanza Brazil

 

11 years ago

CloudsFM

KOCHA WA BRAZIL,LUIZ FELIPE SCOLARI AFUNGUKA BAADA YA KIPIGO CHA MABAO 7 KWA 1 DHDI YA UJERUMANI

"Ni wakati mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kazi yangu ya ukocha na siku mbaya zaidi katika maisha yangu ya soka. Lakini maisha yanaendelea. Nani anawajibika kwa matokeo haya? Ni mimi, ni mimi. Lawama za matokeo haya mabaya zinaweza kutuhusisha wote, lakini mtu aliyeamua timu ya kucheza na mbinu nilikuwa mimi,alisema kocha huyo.Lilikuwa chaguo langu. Tulijitahidi kufanya kila tuwezalo, tulicheza kwa kiwango chetu cha mwisho-lakini tumeishia dhidi ya timu kubwa ya Ujerumani. Hatukukata tamaa...

 

11 years ago

Mwananchi

KUTIMIZA AHADI: Aveva agoma kujifunga Simba

>Rais mpya wa Simba, Evans Aveva amegoma kujiwekea muda rasmi wa kutimiza ahadi zake alizoahidi wakati wa kampeni zake.

 

11 years ago

Mwananchi

Biashara ya figo yashamiri nchini

>Katika kile kinachoonekana kukithiri kwa hali ngumu ya maisha, baadhi ya Watanzania wameanza biashara ya kuuza figo zao kwa gharama kubwa kwa watu wenye mahitaji ya kiungo hicho muhimu mwilini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya dola yashamiri Tanzania

Tanzania mtindo wa matumizi ya Dola ya Marekani katika huduma na bidhaa unaendelea kushamiri, jambo ambalo ni kinyume cha sheria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Biashara ya Hina yashamiri Zanzibar

Kwa miongo kadhaa Wanawake wa Tanzania waishio Visiwani Zanzibar,wamekuwa wakijiremba mikono na miguu yao kwa hina.

 

11 years ago

Michuzi

NSSF FURSA SEMINA YASHAMIRI SIKU YA IDD EL HAJJ MJINI DODOMA

Ikiwa ni muendelezo wa Semina za Fursa zinazoendelea katika mikoa mbalimbali, licha ya kuwa ni siku ya Sikukuu ya Idd El Hajj tarehe 05/10/2014, Semina ya Fursa yashamiri mjini Dodoma na kuvutia umati mkubwa wa watu.


Umati huo ulivutiwa sana na huduma na mafao yatolewayo na NSSF kama vile Matibabu bure kwa mwanachama na wategemezi wake na mikopo kupitia Saccos.


NSSF iliwasihi watu wajiunge na mfuko huu ili waweze jipatia Fursa za kuboresha maisha yao.


Semina ya Fursa Dodoma ilirushwa Live na...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YASEMA LICHA YA MIPAKA YA NCHI KUJIFUNGA WAGENI WACHACHE WANAOINGIA NCHINI WANAHUDUMIWA KWA HADHI SAWA NA MATAIFA MENGINE DUNIANI.


Serikali imesema licha ya mipaka ya nchi kujifunga kutokana na janga la ugonjwa wa COVID 19,wageni wachache wanaoingia nchini wanapokelewa kwa mujibu na taratibu za kuingia nchini na kuhudumiwa kwa hadhi inayoendana na mahitaji ya Kimataifa kama ilivyo katika nchi nyingine yeyote duniani huku tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huo ikipewa kipaumbele.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Kanali Wilbert Augustine Ibuge ameyasema hayo alipofanya ziara...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva

>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani