Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Biashara ya figo yashamiri nchini

>Katika kile kinachoonekana kukithiri kwa hali ngumu ya maisha, baadhi ya Watanzania wameanza biashara ya kuuza figo zao kwa gharama kubwa kwa watu wenye mahitaji ya kiungo hicho muhimu mwilini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Biashara ya Hina yashamiri Zanzibar

Kwa miongo kadhaa Wanawake wa Tanzania waishio Visiwani Zanzibar,wamekuwa wakijiremba mikono na miguu yao kwa hina.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya dola yashamiri Tanzania

Tanzania mtindo wa matumizi ya Dola ya Marekani katika huduma na bidhaa unaendelea kushamiri, jambo ambalo ni kinyume cha sheria.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabao ya kujifunga yashamiri Brazil

Brazil. Dunia imeshuhudia mabao mengi ya kujifunga katika siku nne za kwanza za fainali za Kombe la Dunia 2014 kuliko yaliyofungwa katika fainali za 2010.

 

10 years ago

Michuzi

NSSF FURSA SEMINA YASHAMIRI SIKU YA IDD EL HAJJ MJINI DODOMA

Ikiwa ni muendelezo wa Semina za Fursa zinazoendelea katika mikoa mbalimbali, licha ya kuwa ni siku ya Sikukuu ya Idd El Hajj tarehe 05/10/2014, Semina ya Fursa yashamiri mjini Dodoma na kuvutia umati mkubwa wa watu.


Umati huo ulivutiwa sana na huduma na mafao yatolewayo na NSSF kama vile Matibabu bure kwa mwanachama na wategemezi wake na mikopo kupitia Saccos.


NSSF iliwasihi watu wajiunge na mfuko huu ili waweze jipatia Fursa za kuboresha maisha yao.


Semina ya Fursa Dodoma ilirushwa Live na...

 

9 years ago

Mwananchi

Urasimu unavyoathiri Sekta ya biashara nchini

Nchi tajiri duniani ni zile zilizopiga hatua kubwa katika maendeleo ya viwanda. Nchi hizo ni pamoja na na Ujerumani, Uingereza, Japani, China na Marekani.

 

11 years ago

Mwananchi

Vikwazo hivi viondolewe kuboresha biashara nchini

Licha ya wawekezaji kuvutiwa na mazingira mazuri ya uwekezaji, juhudi za ziada zinapaswa kufanyika ili kuiondoa Tanzania katika nafasi ya chini ambayo imeshika kutokana na kukumbatia vikwazo vingi vinavyozuia biashara kufanyika kirahisi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yajidhatiti kudhibiti ujangili na biashara haramu Nchini

2

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa akijibu swali bungeni.(Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma).

Na Lorietha Laurence-Maelezo, Dodoma

SERIKALI imejidhatiti katika kudhibiti  ujangili na biashara haramu ya mazao ya maliasili kwa kuridhia na kutekeleza  mikataba minne ya kudhibiti ujangali wa tembo na unaovuka mipaka na kulinda mapori ya akiba.

Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Utalii na Maliasili Mahmoud Mgimwa, bungeni Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mch. Peter...

 

10 years ago

Michuzi

Wasanii wa Filamu Nchini watakiwa kutokuwa makontena ya biashara haramu

 Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Bibi Joyce Fisoo akizungumza na wasanii wa bongo movie wanaotarajia kwenda nchini Uingereza kurekodi filamu na kampuni ya Didas Entertainment iliyopo nchini Uingereza. Kulia ni Mama wa Didas Bi. Nuru Idrisa    Kutoka kulia Msanii Yusuph Mllela, Afisa kutoka Bodi ya Filamu Bibi Beatrice Msumari, Msanii Esha Buhet na Msanii Husna Athumani wakimsikiliza kwa makini Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu walipofika ofisini kwake kwa ajili ya kuwaaga wasanii hao...

 

10 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AHUDHURIA MKUTANO WA BIASHARA BERLIN, NCHINI UJERUMANI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(kulia) akiwa na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa Gabonese Mhe,Jean ClaudeBouyobartkabla ya kuanza kwa Mkutano wa Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Afrika na Wajerumani uliofanyika Mjini Berlin Nchini Ujerumani.Balozi wa Jamhuri ya Watu wa Gabonese Mhe,Jean ClaudeBouyobart akizungumza na washiriki mbali mbali wa Mkutano wa Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Afrika na Wajerumani alipoufungua rasmi katika jumba la Baraza la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani