Matumizi ya dola yashamiri Tanzania
Tanzania mtindo wa matumizi ya Dola ya Marekani katika huduma na bidhaa unaendelea kushamiri, jambo ambalo ni kinyume cha sheria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Matumizi ya dola dharau kwa Tanzania
Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita hapa nchini, shilingi ya Tanzania ilianza kupotea thamani yake kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kukithiri kwa matumizi ya fedha za kigeni hususan Dola ya Marekani.
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Wabunge wakerwa matumizi ya dola
Wabunge wameonyesha kukerwa na mtindo unaoshamiri wa matumizi ya Dola ya Marekani nchini, jambo ambalo linasababisha kuporomoka kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania.
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Serikali kuchunguza matumizi ya dola
SERIKALI kwa kushirikiana na Bodi ya Tumbaku inafanya uchunguzi juu ya mfumo wa matumizi ya dola kwa wakulima wa tumbaku, ili kutumia shilingi ya kitanzania kwa manufaa ya wakulima. Kauli...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uomAPC7ODxI/XoY11y5sFkI/AAAAAAALl4Q/pQPS00T2RbgNZ8uAnRbpz-wfRVilINOWwCLcBGAsYHQ/s72-c/151c9933-4228-4e24-a744-23471cfdf42e.jpg)
PROF NDALICHAKO AFUNGUKA MATUMIZI YA DOLA MILIONI 500 ZA BENKI YA DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uomAPC7ODxI/XoY11y5sFkI/AAAAAAALl4Q/pQPS00T2RbgNZ8uAnRbpz-wfRVilINOWwCLcBGAsYHQ/s640/151c9933-4228-4e24-a744-23471cfdf42e.jpg)
Hayo yamesemwa jijini Dodoma na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako wakati akizungumzia mradi huo ambapo amesema pamoja na kujenga miundombinu ya shule mradi huo utatoa mafunzo...
11 years ago
Michuzi17 May
OFISI ndogo ya Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania leo imetialiana saini na Chama cha kupunguza Matumizi ya Silaha na Maridhiano cha Jamhuri ya Watu wa China (Chinese Peoples’ Association for Peace and Disarmament) wenye thamani ya dola laki moja z
![](https://2.bp.blogspot.com/-xGKFYr6M3Vw/U3Yi_zPEPRI/AAAAAAACxu8/b8uEJvsq1Dk/s1600/PIX+8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gf8ld-CfOBQ/U3Yi_K89ekI/AAAAAAACxvE/AHGr6S4pvlo/s1600/PIX+7.jpg)
10 years ago
BBCSwahili03 Mar
Biashara ya Hina yashamiri Zanzibar
Kwa miongo kadhaa Wanawake wa Tanzania waishio Visiwani Zanzibar,wamekuwa wakijiremba mikono na miguu yao kwa hina.
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Biashara ya figo yashamiri nchini
>Katika kile kinachoonekana kukithiri kwa hali ngumu ya maisha, baadhi ya Watanzania wameanza biashara ya kuuza figo zao kwa gharama kubwa kwa watu wenye mahitaji ya kiungo hicho muhimu mwilini.
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Mabao ya kujifunga yashamiri Brazil
Brazil. Dunia imeshuhudia mabao mengi ya kujifunga katika siku nne za kwanza za fainali za Kombe la Dunia 2014 kuliko yaliyofungwa katika fainali za 2010.
10 years ago
MichuziNSSF FURSA SEMINA YASHAMIRI SIKU YA IDD EL HAJJ MJINI DODOMA
Ikiwa ni muendelezo wa Semina za Fursa zinazoendelea katika mikoa mbalimbali, licha ya kuwa ni siku ya Sikukuu ya Idd El Hajj tarehe 05/10/2014, Semina ya Fursa yashamiri mjini Dodoma na kuvutia umati mkubwa wa watu.
Umati huo ulivutiwa sana na huduma na mafao yatolewayo na NSSF kama vile Matibabu bure kwa mwanachama na wategemezi wake na mikopo kupitia Saccos.
NSSF iliwasihi watu wajiunge na mfuko huu ili waweze jipatia Fursa za kuboresha maisha yao.
Semina ya Fursa Dodoma ilirushwa Live na...
Umati huo ulivutiwa sana na huduma na mafao yatolewayo na NSSF kama vile Matibabu bure kwa mwanachama na wategemezi wake na mikopo kupitia Saccos.
NSSF iliwasihi watu wajiunge na mfuko huu ili waweze jipatia Fursa za kuboresha maisha yao.
Semina ya Fursa Dodoma ilirushwa Live na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania