Matumizi ya dola dharau kwa Tanzania
Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita hapa nchini, shilingi ya Tanzania ilianza kupotea thamani yake kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kukithiri kwa matumizi ya fedha za kigeni hususan Dola ya Marekani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Matumizi ya dola yashamiri Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J4Q91QIejus/Xmd_f1Z48FI/AAAAAAAAIZg/r3hbZfRDPUw9DGYGG6R1B6If3QC1hKF4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200310_123009_204.jpg)
KALIST ASEMA CCM HAITATUMIA DOLA KUTAKA MADARAKA BALI DOLA KWA NI KUTUMIA KWA KUTUMIKIA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-J4Q91QIejus/Xmd_f1Z48FI/AAAAAAAAIZg/r3hbZfRDPUw9DGYGG6R1B6If3QC1hKF4ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200310_123009_204.jpg)
Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro akiongea na vyombo vya habari leo leo jijini Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
CHAMAcha Mapinduzi,CCM, hakitatumia dola kubakia madarakani bali kitaitumia dola katika kuwatumikia na kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha huduma za jamii.
Hayo yameelezwa leo jijini Arusha kwenye ukumbi wa Hotel ya Arusha Palace, na aliyekuwa Meya wa Jijiji la Arusha,Kalisti Lazaro,alipokuwa akitolea ufafanuzi kauli ya...
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Wabunge wakerwa matumizi ya dola
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Serikali kuchunguza matumizi ya dola
SERIKALI kwa kushirikiana na Bodi ya Tumbaku inafanya uchunguzi juu ya mfumo wa matumizi ya dola kwa wakulima wa tumbaku, ili kutumia shilingi ya kitanzania kwa manufaa ya wakulima. Kauli...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uomAPC7ODxI/XoY11y5sFkI/AAAAAAALl4Q/pQPS00T2RbgNZ8uAnRbpz-wfRVilINOWwCLcBGAsYHQ/s72-c/151c9933-4228-4e24-a744-23471cfdf42e.jpg)
PROF NDALICHAKO AFUNGUKA MATUMIZI YA DOLA MILIONI 500 ZA BENKI YA DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uomAPC7ODxI/XoY11y5sFkI/AAAAAAALl4Q/pQPS00T2RbgNZ8uAnRbpz-wfRVilINOWwCLcBGAsYHQ/s640/151c9933-4228-4e24-a744-23471cfdf42e.jpg)
Hayo yamesemwa jijini Dodoma na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako wakati akizungumzia mradi huo ambapo amesema pamoja na kujenga miundombinu ya shule mradi huo utatoa mafunzo...
11 years ago
Michuzi17 May
OFISI ndogo ya Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania leo imetialiana saini na Chama cha kupunguza Matumizi ya Silaha na Maridhiano cha Jamhuri ya Watu wa China (Chinese Peoples’ Association for Peace and Disarmament) wenye thamani ya dola laki moja z
![](https://2.bp.blogspot.com/-xGKFYr6M3Vw/U3Yi_zPEPRI/AAAAAAACxu8/b8uEJvsq1Dk/s1600/PIX+8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gf8ld-CfOBQ/U3Yi_K89ekI/AAAAAAACxvE/AHGr6S4pvlo/s1600/PIX+7.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_3FDwBPN5zQ/XuISMkYsIsI/AAAAAAAEHts/8Qn6LVzuTKsBMbweYEAZ34PzwDCu6L_3ACLcBGAsYHQ/s72-c/imf.png)
IMF YATOA DOLA MILIONI 14.3 KWA TANZANIA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
SHIRIKA la Fedha Duniani (IMF) limeidhinisha kutoa msaada wa Dola za kimarekani Million 14. 3 kwa Tanzania na hiyo kupitia kikao cha bodi ya wakurugenzi kilichokaa jana Juni 10.
Kupitia mfuko wake wa kupambana na maafa(CCRT ) IMF imeisamehe Tanzania kiasi cha mkopo cha Dola za kimarekani milioni 14. 3 ambazo zilipaswa kulipwa ndani ya miezi minne ijayo kuanzia sasa mpaka tarehe Oktoba 13, 2020.
Imeelezwa kuwa hiyo ni katika kunusuru uchumi wa Tanzania...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Tanzania ya pili kwa matumizi ya Smartphone
TANZANIA imetajwa kuwa nchi ya pili katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, kwa manunuzi na utumiaji wa simu za smartphone ikitanguliwa na Afrika Kusini. Mkurugenzi wa kampuni ya...
10 years ago
VijimamboWHO YATOA VIFAA VYA DOLA ZA MAREKANI 46,000 KWA SERIKALI YA TANZANIA KUJIAMI NA EBOLAâ€