Vikwazo hivi viondolewe kuboresha biashara nchini
Licha ya wawekezaji kuvutiwa na mazingira mazuri ya uwekezaji, juhudi za ziada zinapaswa kufanyika ili kuiondoa Tanzania katika nafasi ya chini ambayo imeshika kutokana na kukumbatia vikwazo vingi vinavyozuia biashara kufanyika kirahisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziBENKI YA DUNIA NA JAPAN (JICA) KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NCHINI TANZANIA
JAPANI YAKUBALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KATIKA KUCHANGIA BAJETI YA MAENDELEO KATIKA...
11 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO ZANZIBAR AFUNGA MAFUNZO YA SIKU TATU JUU YA VIKWAZO VYA BIASHARA VISIVYO VYA KIUSHURU
9 years ago
StarTV09 Oct
Mgufuli ahidi kuboresha uchumi wa nchi kwa kuondoa vikwazo Tanzania na Kenya
Mgombea Uraisi kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Dokta John Pombe Magufuli amesema atakapoingia madarakani atahakikisha anasimamia fursa zilizopo za kibiashara baina ya nchi jirani ya Kenya kwa kuondoa vikwazo kwa lengo la kuimarisha uchumi wa nchi hizo mbili.
Kenya ni moja ya nchi ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi,hivyo kufunguliwa kwa fursa za kibiashara kutasaidia kukuza uchumi wa nchi zote mbili.
Kadri siku zinavyojongea kufanyika kwa uchaguzi mkuu Octoba 25 mwaka huu,vyama...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DZZ3kG3buiE/UzKKU-EUKmI/AAAAAAAFWdY/GRhS-1R68y8/s72-c/unnamed+(2).jpg)
MRADI WA TIER 1 KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA.
10 years ago
Michuzi01 Sep
Umuhimu wa vipimo na takwimu ili kuboresha biashara
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/n4x7yMgLU_WuApAoK9bF5Yq2cPFbm0XIoN2AOgfUwpUF0LJtf8MDzGFQmWp-eXnjKYUOkufCKVoOmp_KIzBgzr-LYzY9XlLX-N-oot9oz0W-87bPHG4EIwZ59w=s0-d-e1-ft#http://dudumizi.com/images/huduma-bora-za-website-design-tanzania.jpg)
Ingawa ushindani ni mkubwa sanasana, lakini...
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Mkapa: Kuboresha mazingira ya biashara kutachochea ukuaji uchumi
10 years ago
Habarileo07 Aug
Marekani kuboresha umeme nchini
TANZANIA ni miongoni mwa nchi tano zitakazopokea ongezeko la dola milioni 1.1 kutoka Marekani ili kupanua shughuli za uzalishaji wa nishati ya umeme na hivyo kuyafikia maeneo mengi zaidi ambayo hayafikiwi na umeme wa Gridi ya Taifa.
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
EXCLUSIVE: “Serikali yafuta vikwazo vyote kwa Madereva Nchini..magari yaanza safari muda huu
Waziri wa Kazi na Ajira nchini, Gaudensia Kabaka akiongea na madereva kwa kutumia kipaza sauti mapema mchana huu na kufuta baadhi ya vikwazo walivyokuwa wakivipinga madereva.
Andrew Chale wa Modewji blog
Hali ya mambo katika ‘segere’ la Madereva Nchini la kuweka mgomo baridi la kutoingia barabarani hadi hapo madai yao ya msingi...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Nini kifanyike kuboresha elimu nchini?
ELIMU ni njia inayotumiwa na jamii kupitisha maarifa, ujuzi na maadili kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine. Walimu katika taasisi za elimu huratibisha elimu ya wanafunzi wao kupitia masomo ya...