Serikali yajidhatiti kudhibiti ujangili na biashara haramu Nchini
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa akijibu swali bungeni.(Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma).
Na Lorietha Laurence-Maelezo, Dodoma
SERIKALI imejidhatiti katika kudhibiti ujangili na biashara haramu ya mazao ya maliasili kwa kuridhia na kutekeleza mikataba minne ya kudhibiti ujangali wa tembo na unaovuka mipaka na kulinda mapori ya akiba.
Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Utalii na Maliasili Mahmoud Mgimwa, bungeni Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mch. Peter...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSerikali yajidhatiti Kudhibiti Makosa ya Utakatishaji fedha haramu Nchini- AG Masaju
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rbZ7AdGlfG8/VkRWQVDZFfI/AAAAAAAIFaA/2x3ds2STkww/s72-c/w.jpg)
WAMWANDIKIA BARUA YA WAZI RAIS DKT MAGUFULI ACHUKUE HATUA DHIDI YA UJANGILI WA BIASHARA HARAMU YA MENO YA TEMBO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rbZ7AdGlfG8/VkRWQVDZFfI/AAAAAAAIFaA/2x3ds2STkww/s640/w.jpg)
10 years ago
Michuzi11 Apr
Rais ateua Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma, Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Biashara ya Fedha Haramu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NoIQpzKYxCo/XlEVhZTT7qI/AAAAAAALe0Y/EBIEdlYA7EQufeEm1BBEfMP3tln1MJgLwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-2AA-4-1024x682.jpg)
SERIKALI KUDHIBITI WAHAMIAJI HARAMU WANAOTUMIA NJIA ZA TRENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NoIQpzKYxCo/XlEVhZTT7qI/AAAAAAALe0Y/EBIEdlYA7EQufeEm1BBEfMP3tln1MJgLwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-2AA-4-1024x682.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora,Kamishna Msaidizi Barnabas Mwakalukwa,akitoa taarifa ya hali ya ulinzi na usalama kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati wa kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani hapo leo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-3AA-4-1024x682.jpg)
Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Tabora,Kamishna Msaidizi Mwandamizi,Mohamed Jihadi, akitoa taarifa ya idara yake kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati wa kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LR2iS9vPrrw/VOUKiUYZacI/AAAAAAAHEbc/FHDP4h8PyLQ/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
MAREKANI KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KUDHIBITI UINGIZAJI WA BIDHAA HARAMU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LR2iS9vPrrw/VOUKiUYZacI/AAAAAAAHEbc/FHDP4h8PyLQ/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Serikali yajidhatiti kukabiliana na changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu nchini
Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM.
SERIKALI imekuwa ikifanya jitihada za dhati katika kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa kiwango cha wahitimu wa kidato cha Nne na Sita katika kipindi cha miaka miwili...
11 years ago
MichuziSerikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu - Mafupa
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania kanda ya Kaskazini (TFS) bw. Cuthbert Mafupa wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea hifadhi ya Chome na ile ya Amani iliyipo mkoani Tanga ili kujifunza na kuona hatua...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_ksGrOUkJpw/VlqSbIsdXeI/AAAAAAAII3w/m0YzAuM8GKg/s72-c/a3a430d7-a9c9-4658-8258-1a641e343d09.jpg)
Tutakomesha biashara haramu ya magogo, maliasili—Serikali
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rzt-xHwEGDk/VLoaruceLhI/AAAAAAAG98Y/KC3YhrJ3YZE/s72-c/IMG-20150117-WA013.jpg)
DAWASCO YAJIDHATITI KUDHIBITI UPOTEVU WA MAJI JIJINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rzt-xHwEGDk/VLoaruceLhI/AAAAAAAG98Y/KC3YhrJ3YZE/s1600/IMG-20150117-WA013.jpg)
Kiwango cha Maji kinachopotea kwa mujibu wa DAWASCO ni kwa asilimia 54 ambapo kiwango hicho ni kikubwa zaidi kutoka kile cha kimataifa cha asilimia 16 kinachotakiwa.
Ofisa...