SERIKALI YASEMA LICHA YA MIPAKA YA NCHI KUJIFUNGA WAGENI WACHACHE WANAOINGIA NCHINI WANAHUDUMIWA KWA HADHI SAWA NA MATAIFA MENGINE DUNIANI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yHGnSvX1lAI/XpDEM_xcqyI/AAAAAAALmwQ/qxXVbAB7ApQilirfWzn5WYzwhy-Z1nBMQCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
Serikali imesema licha ya mipaka ya nchi kujifunga kutokana na janga la ugonjwa wa COVID 19,wageni wachache wanaoingia nchini wanapokelewa kwa mujibu na taratibu za kuingia nchini na kuhudumiwa kwa hadhi inayoendana na mahitaji ya Kimataifa kama ilivyo katika nchi nyingine yeyote duniani huku tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huo ikipewa kipaumbele.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Kanali Wilbert Augustine Ibuge ameyasema hayo alipofanya ziara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAHPaOicyQVufejlD4i8hSUMAOFUMa8PebDXV4IuB5pY1E0PqZlNzgQ2OFZ8GtuoVPOFB-3cwcTAb9-HZdvUtd*7/Anga1.jpg?width=650)
TANZANIA YAUNGANA NA MATAIFA MENGINE KUADHIMISHA MIAKA 70 YA USAFIRI WA ANGA DUNIANI
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Tanzania yaungana na mataifa mengine kuadhimisha miaka 70 ya usafiri wa anga duniani
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaaban Mwinjaka akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam kuhusu maadhimisho ya miaka 70 ya Usafiri wa anga duniani yanayoendelea nchini na namna Serikali kupitia Mamlaka ya Anga Tanzania (TCAA) ilivyojipanga kuhakikisha usalama wa ndege na abiria wanaotumia anga la Tanzania.
Tanzania inaungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya kimataifa ya usafiri wa anga, (International Civil Aviation Day) ambayo huadhimishwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-eP63lMmMCc0/XndVoEhLdlI/AAAAAAACJFY/zrhpRBMlYscBgiSxe7YeI7ewx_KQ0YXUACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_150152_109.jpg)
RAIS MAGUFULI: WATANZANIA NA WAGENI WATAKAOINGIA NCHINI KUTOKA NCHI ZILIZOATHIRIWA NA CORONA WOTE KUJITENGA SIKU 14 KWA GHARAMA ZAO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-eP63lMmMCc0/XndVoEhLdlI/AAAAAAACJFY/zrhpRBMlYscBgiSxe7YeI7ewx_KQ0YXUACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200322_150152_109.jpg)
IKULU, Chamwino, Dodoma
Rais Dk. John Magufuli leo ametangaza hatua nyingine ili za kukabiliana na ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Coron
Rais Dk. John Magufuli amesema kuanzia kesho wasafiri wote watakaoingia nchini kutoka katika mataifa yaliyoathirika zaidi na ugonjwa wa Corona, watalazimika kufikia sehemu za kujitenga kwa siku 14 kwa gharama zao wenyewe.
Akihutubia taifa,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iO_IHWeO_Vg/VIdabmUrnGI/AAAAAAAG2Qw/yZxc0WlCpIU/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi nchini peru
![](http://1.bp.blogspot.com/-iO_IHWeO_Vg/VIdabmUrnGI/AAAAAAAG2Qw/yZxc0WlCpIU/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-J_tAh0X--fw/VIdabrDJPlI/AAAAAAAG2Q0/lol9Gagkkco/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s72-c/NY%2B1.jpg)
Benki ya Exim yatangaza fursa sawa ya ajira kwa watanzania bila kujali mipaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s640/NY%2B1.jpg)
10 years ago
GPLSERIKALI YATOA TAARIFA YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA NCHINI
10 years ago
MichuziKigoma wapongezwa kwa ubunifu wa kuwasafirisha waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi wanaoingia nchini
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Sababu za kushuka kwa hadhi ya walimu nchini