Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barcelona vinara mabao la Liga

Vinara wa La Liga FC Barcelona Jana wameishindilia Getafe Bao 6-0

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vinara La Liga waambulia vipigo

Timu vinara wa ligi kuu ya Hispania za Barcelona na Real Madrid zimeambulia vipigo katika mechi zao za mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Barcelona yajipa matumaini, La Liga

Barcelona yaahidi kutoa upinzani mkali kwenye michuano ya La Liga

 

9 years ago

BBCSwahili

Barcelona wafungwa magoli manne La Liga

Barcelona wamepata kichapo kikubwa zaidi La Liga enzi ya Luis Enrique baada ya kulazwa 4-1 na Celta Vigo.

 

5 years ago

Barca Blaugranes

Barcelona vs Real Sociedad live stream: Lineups, Kickoff time, TV channel, how to watch La Liga online

Barcelona vs Real Sociedad live stream: Lineups, Kickoff time, TV channel, how to watch La Liga online  Barca BlaugranesBarcelona's Lionel Messi accused of 'stamp' against Real Sociedad  GIVEMESPORTBarcelona 1-0 Real Sociedad: Braithwaite (and Messi) lift Barca to the top of La Liga  SquawkaFC Barcelona announce squad for La Liga match against Real Sociedad  Barca BlaugranesReal Madrid: 5 players who must shine against Real Betis  The Real ChampsView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Vijimambo

FC BARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA KWA JUMLA YA MABAO 5-3

Timu ya soka ya Bayern Munich ya Ujerumani usiku wa kuamkia leo wameshuhudia wakishindwa kufuzu kucheza fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya baada ya kujikuta wakiondolewa na FC Barcelona kwa jumla ya mababo 5-3. 
Wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani wa Allianz Arena uliofurika mashabiki wenye pumzi ya kushangilia bila kuchoka, Bayern waliokuwa na kibarua cha kuifunga Barcelona mabao 4-0 ili wasonge mbele hatua ya fainali, walijikuta wakimaliza dakika 90 za mchezo huo wakiwa na ushindi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yaamuru la Liga kuendelea

Mahakama kuu ya Uhispania imeagiza mechi za ligi kuu ya Uhispania La Liga ziendelee pasi na mgomo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Atletico Madrid Mabingwa wa La Liga

Atletico Madrid imenyakua kombe la ligi kuu ya Hispania La liga baada ya kutoka sare ya 1 – 1 dhidi ya Barcelona.

 

11 years ago

GPL

ATLETICO MADRID BINGWA LA LIGA

Wachezaji wa Atletico Madrid wakimnyanyua juu kocha wao Diego Simeone baada ya kutwaa ubingwa. TIMU ya Atletico Madrid imetwaa kombe la La Liga baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Barcelona kwenye Uwanja wa Nou Camp. Kwa ushindi huo wamefikisha pointi 90 wakati Barcelona wakiwa na pointi 87 sawa na Real Madrid ambao wamemaliza wakiwa nafasi ya tatu. Mara ya mwisho kutwaa kombe hilo ilikuwa 1996! ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani