ATLETICO MADRID BINGWA LA LIGA
![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCBG*pObvF6mq7MYIOZ96C-BWHBwufOZUu1cCLSf6xZfl5MjjpawMU81AsPfrTZK*Ni5PEQ4F7CTWRklec5o2AAa/simeone.jpg)
Wachezaji wa Atletico Madrid wakimnyanyua juu kocha wao Diego Simeone baada ya kutwaa ubingwa. TIMU ya Atletico Madrid imetwaa kombe la La Liga baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Barcelona kwenye Uwanja wa Nou Camp. Kwa ushindi huo wamefikisha pointi 90 wakati Barcelona wakiwa na pointi 87 sawa na Real Madrid ambao wamemaliza wakiwa nafasi ya tatu. Mara ya mwisho kutwaa kombe hilo ilikuwa 1996! ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 May
Atletico Madrid Mabingwa wa La Liga
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--MeDKWNmFFA/VTeVpbsP0bI/AAAAAAAA7R4/iK3NDHWLNKc/s72-c/A%2B1.jpg)
NANI KWENDA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO, NI BINGWA MTETEZI REAL MADRID AU ATLETICO MADRID
![](http://3.bp.blogspot.com/--MeDKWNmFFA/VTeVpbsP0bI/AAAAAAAA7R4/iK3NDHWLNKc/s1600/A%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MAhM32ouThs/VTeVo6yvC8I/AAAAAAAA7R0/43qXR-ySkGg/s1600/A%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OKmlPzhIu6E/VTeVpfjbT8I/AAAAAAAA7SA/tbFbvj5FhsU/s1600/A%2B3.jpg)
Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...
5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-rwve4Xr1iJs/VZd3wxDtutI/AAAAAAAACbQ/rgN2kj6Joc8/s72-c/degea-1431735082.jpg)
THIS IS WHAT ATLETICO MADRID SAYS ABOUT DAVID DE GEA JOINING REAL MADRID
![](http://1.bp.blogspot.com/-rwve4Xr1iJs/VZd3wxDtutI/AAAAAAAACbQ/rgN2kj6Joc8/s400/degea-1431735082.jpg)
De Gea joined United from Atletico, where he started his career, for £18.9million in 2011. A year earlier he was a crucial figure as Atleti won the Europa League.Tomas Ujfalusi was part of De Gea's defence that season and popular with the club's fans after spending three years in the Spanish capital; De Gea was equally liked, but Ujfalusi believes he will throw that away if he signs for Real because Atletico's fans would feel betrayed.
![](http://1.bp.blogspot.com/-M7IhNpLMfA0/VZd270Y6xRI/AAAAAAAACbA/Z8T9ox6NVkA/s400/22B224DE00000578-0-image-a-47_1435960515677.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pCnj1SuHrlp7bwh1uVSv5VZjDh-yifMU9nPUEcRfOyt85H1IZIpMtlCXHDkOtW5E0GjMzHmjFFcyXoTTqRLYXf7tysJfTUpt/AtleticoMadrid4.jpg?width=750)
REAL MADRID YAFUNGWA NA ATLETICO MADRID BAO 2-0
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Barca, Real, Atletico kikaangoni leo la liga
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
Real Madrid 1-1 Atletico Madrid