Barca, Real, Atletico kikaangoni leo la liga
Barcelona, Real Madrid na Atletico Madrid zote zilipata ushindi mzuri katika Ligi ya Mabingwa katikati ya wiki, lakini leo na kesho watakuwa na kazi pevu katika La Liga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Real, Barca, Atletico mtifuano
Bilbao imefunga mabao 15, huku wakishinda mechi 13 kwenye uwanja wao mpya wa San Mames
11 years ago
BBCSwahili17 May
Atletico Madrid Mabingwa wa La Liga
Atletico Madrid imenyakua kombe la ligi kuu ya Hispania La liga baada ya kutoka sare ya 1 – 1 dhidi ya Barcelona.
11 years ago
GPLATLETICO MADRID BINGWA LA LIGA
Wachezaji wa Atletico Madrid wakimnyanyua juu kocha wao Diego Simeone baada ya kutwaa ubingwa. TIMU ya Atletico Madrid imetwaa kombe la La Liga baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Barcelona kwenye Uwanja wa Nou Camp. Kwa ushindi huo wamefikisha pointi 90 wakati Barcelona wakiwa na pointi 87 sawa na Real Madrid ambao wamemaliza wakiwa nafasi ya tatu. Mara ya mwisho kutwaa kombe hilo ilikuwa 1996! ...
5 years ago
Managing Madrid08 Mar
Real Betis—Real Madrid La Liga 2019-20 Match Preview, Injuries/Suspensions, Potential XIs, Prediction
Real Betis—Real Madrid La Liga 2019-20 Match Preview, Injuries/Suspensions, Potential XIs, Prediction Managing MadridLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad GIVEMESPORTBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him Goal.comReal Madrid will be without two stars at Real Betis The Real ChampsQuique Setien says Barcelona look ‘good and strong’ after Real Sociedad win Barca BlaugranesView Full coverage on Google...
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Turan:Barca yamsajili kiungo wa Atletico
Mabingwa wa Ulaya na Uhispania, Barcelona wamemsajili kiungo cha kati wa wapinzani wao Atletico Madrid Arda Turan raia wa Uturuki
11 years ago
GPL10 Apr
10 years ago
GPLPAKA MWEUSI AKATIZA UWANJANI CAMP NOU, WAKATI BARCA YAUA 3-0 LA LIGA
Mchezaji wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga bao katika dakika ya 42 kipindi cha kwanza dhidi ya Elche usiku wa kuamkia leo. Paka mweusi akiingia uwanjani na kusababisha mchezo kusimama wa muda.…
10 years ago
VijimamboNANI KWENDA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO, NI BINGWA MTETEZI REAL MADRID AU ATLETICO MADRID
Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti ( mwenye kofia ) akifuatilia mazoezi ya wachezaji wake kabla ya kurudiana na Atletico Madrid leo usiku.Wachezaji wa Real Madrid ( kutoka kushoto kwenda kulia ) Daniel Carvajal, Marcelo Vieira na Sami Khedira wakijifua tayari kuwakabili wapinzani wao Atletico Madrid leo usiku.
Baada ya mchezo watakumbatiana hivi!!! Kocha wa Real Madrd Carlo Ancelotti( kushoto ) akiwa na kocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone.
Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...
Baada ya mchezo watakumbatiana hivi!!! Kocha wa Real Madrd Carlo Ancelotti( kushoto ) akiwa na kocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone.
Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania