Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAKA MWEUSI AKATIZA UWANJANI CAMP NOU, WAKATI BARCA YAUA 3-0 LA LIGA

Mchezaji wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga bao katika dakika ya 42 kipindi cha kwanza dhidi ya Elche usiku wa kuamkia leo. Paka mweusi akiingia uwanjani na kusababisha mchezo kusimama wa muda.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Barca, Real, Atletico kikaangoni leo la liga

Barcelona, Real Madrid na Atletico Madrid zote zilipata ushindi mzuri katika Ligi ya Mabingwa katikati ya wiki, lakini leo na kesho watakuwa na kazi pevu katika La Liga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chui kanyeshewa kawa paka uwanjani Nyayo

SuperSport FC imetoka sare ya 2-2 na AFC Leopards na kufuzu kwa raundi ijayo ya kombe la Shirikisho barani Afrika

 

10 years ago

Michuzi

NDEGE YAPATA AJALI UWANJANI WAKATI IKITUA

Ndege ya shirika la Delta, AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa senyenge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa ndege kuruka au...

 

11 years ago

GPL

VURUGU UWANJANI: 15 WAPOTEZA MAISHA WAKATI WA MECHI DRC

Mojawapo ya vurugu zilizowahi kutokea uwanjani. Watu 15 wamepoteza maisha wakati 21 wakijeruhiwa baada ya vurugu kuibuka uwanjani mjini Kinshasa, DRC baada ya polisi kulipua mabomu ya machozi kwa mashabiki. Vurugu hizo ziliibuka wakati wa mechi kati ya ASV Club na Tout Puissant Mazembe.

 

5 years ago

CCM Blog

JE MASHARTI MAPYA YA MECHI YAKO VIPI UWANJANI WAKATI HUU WA CORONA?

Borussia Dortmund iliwafunga wapinzani wao Schalke 4-0 huku wachezaji wakisherehekea magoli hayo kwa kugongana visukusukuHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionBorussia Dortmund iliwafunga wapinzani wao Schalke 4-0 huku wachezaji wakisherehekea magoli hayo kwa kugongana visukusukuFeatured hyper: min. 10 pieces inc. 2 videosLigi ya kandanda nchini Ujerumani iliendelea siku ya Jumamaosi na kutoa ishara za jinsi ligi ya Premia na ligi nyengine kuu zitakavyochezwa wakati zitakaporejea.Ligi ya taifa la Korea Kusini ilianza wikendi iliopita , huku ligi ndogo ndogo kama ile ya Belarus na Nicaragua zikiendelea...

 

11 years ago

Michuzi

majambazi yaua mpitanjia wakati wa uporaji arusha leo


Kunradhi kwa picha ya kusumbua hisia
Mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi eneo na Clock Tower jijini Arusha. 

Inasemekana majambazi hayo yalikuwa yakipora kwenye Bureau Change iitwayo Nothern ambapo marehemu alikuwa akipita jirani na eneo hilo na alipowaona alipiga kelele ndipo akafyatuliwa risasi kadhaa na kupoteza maisha.


 

10 years ago

Habarileo

RC akatiza ziara kukagua maabara

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Elaston Mbwilo.MKUU wa Mkoa wa Simiyu, Elaston Mbwilo amesitisha ziara yake baada ya kutoridhishwa na ujenzi wa vyumba vya maabara katika Wilaya ya Maswa huku akitoa muda wa mwezi mmoja kukamilisha ujenzi huo kwenye shule za sekondari.

 

10 years ago

BBCSwahili

JK:Akatiza ziara ya Mizengo Pinda

Waziri Mizengo Pinda wa Tanzania amekatiza ziara yake Falme za Kiarabu ,kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani