Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SUAREZ BINGWA WA MABAO!

LICHA ya Liverpool kukosa ubingwa, lakini nyota wao Luis Suarez ametwaa kiatu cha mfungaji bora kwa kumaliza na mabao yake 31 akifuatiwa na Daniel Sturidge naye pia wa Liver mwenye mabao 21.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni …

Michuano ya klabu Bingwa Dunia imeendelea tena kwa mchezo wa fainali kupigwa katika uwanja wa Nissan, mchezo wa fainali ya klabu Bingwa Dunia umepigwa kwa kuzikutanisha timu mbili klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambaye ni muwakilishi wa bara la Ulaya katika michuano hiyo dhidi ya klabu ya River Plate kutoka bara la America. Huu […]

The post Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video)

Baada ya klabu ya TP Mazembe inayochezewa na washambuliaji wa wawili wa Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kutolewa katika mashindano ya klabu Bingwa Dunia katika hatua ya robo fainali dhidi ya Sanfrecce kwa goli 3-0, December 17 ilikuwa ni zamu ya Mabingwa wa Ulaya FC Barcelona kutupa karata yao katika hatua ya nusu fainali. […]

The post Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video) appeared first on...

 

9 years ago

Michuzi

IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiTIMU ya Mpira wa Pete ya Idara ya Uhamiaji,imeibuka mshindi katika michuano ya mashindano ya Klabu bingwa wa mpira wa pete baada ya kuipiga timu ya Mbweni JKT iliyokuwa ikishikilia ubingwa huo. Akizungumza baada ya kupokea kombe hilo ,Kamishina wa Utawala na Fedha wa Idra ya Uhamiaji,Piniel Mgonja  amewataka wachezaji wa timu hiyo kujituma na kuweza kulinda kombe hilo ililisichukuliwe katika michuano mingine. Mgonja amesema katika mwaka huu wamekuwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nifungieni mabao 3-0

Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa amesema ili kupata ushindi Oktoba 25, anahitaji kupata ushindi wa mabao matatu bila, akimaanisha Ukawa ipate rais, wabunge na madiwani.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Maombi yamenipa mabao’

Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman amesema siri ya kuwa katika kasi ya ufungaji kwa sasa inatokana na maombi anayofanya kila siku.

 

11 years ago

GPL

Logarusic aja na mabao...

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Wilbert Molandi
KATIKA kuhakikisha timu yake inafunga mabao mengi katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amekuja na mbinu mpya kwenye kikosi chake.Kocha huyo ambaye raia wa Croatia, alianza kutoa mbinu hizo juzi Alhamisi kwenye mazoezi yake yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Ununio, Boko jijini Dar es Salaam. Kwenye mazoezi hayo, kocha huyo aliwapa...

 

11 years ago

TheCitizen

I’m more angel than demon, says Suarez

Liverpool star Luis Suarez insists he is more of “an angel than a demon” despite the series of controversies that have blighted his career.

 

11 years ago

Mwananchi

Suarez aipaisha Liverpool

>Mshambuliaji  Luis Suarez ameendelea kung’ara na kuiongoza Liverpool kukalia usukani wa ligi baada ya kufunga mabao mawili wakishinda 3-1 nyumbani dhidi ya Cardiff City.

 

11 years ago

Michuzi

Luis Suarez: I must thank you all for this award

After collecting the PFA Players' Player of the Year honour on Sunday evening, Liverpool forward Luis Suarez revealed his depth of gratitude to his teammates, family and the club's supporters. A phenomenal season in which the Uruguayan has registered 30 goals in 31 appearances in the Barclays Premier League was rewarded with the individual accolade at a ceremony in London. The Reds' No.7 saw off competition from colleagues Steven Gerrard and Daniel Sturridge, plus Eden Hazard, Adam Lallana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani