Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MFANYABIASHARA MASHUHURI DEOGRATIUS KILAWE AMEFUNGA PINGU ZA MAISHA NA ANABAHATI MLAY.

 Mfanyabiashara  na mmliki wa makampuni ya excel Management, Mikono Speakers na Focus Outdoor Deogratius Kilawe Jumamosi 12th Sept amefunga  pingu za maisha (ndoa )katika kanisa la st.Peter na kisha kufanya mapokezi serena Hotel. Deogratius Kilawe amefunga Pingu za maisha na Anabahati Mlay.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

appreciation from Deogratius Kilawe

It has been a while now since we introduced this NEW and unique concept of Conscious Leadership across Africa, a concept that really challenges the way we as Africans think about leadership. The response from the public across East Africa for our Conscious Leadership Summit have been nothing short of amazing; we already have more than  100 East African companies and 5 from outside Africa entirely who have confirmed their attendance to this unique program. This could not have been possible...

 

10 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA MASHUHURI MIKOA YA ARUSHA NA KILIMANJARO VICENT LASWAI APANDA MLIMA KILIMANJARO

Mfanyabiashara mashuhuri katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Vicent Laswai akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika ofsi za Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) kabla ya kuanza safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro.Mfanyabiashara Vicent Laswai akijadiliana jambo na Mhifadhi mkuu wa Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro(KINAPA) ,Erastus Rufungulo kabla ya kuaza safari ya kupanda mlima Kilimanjaro. kulia ni mkurugenzi wa kampuni ya Topi Raisen Richard...

 

10 years ago

Vijimambo

JACOB NA IRENE WALA KIAPO CHA PINGU ZA MAISHA

Jacob na Irene wakiingia ukumbini kusherehekea harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi Novemba 29, 2014 Upper Marlbolo Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki.Jacob na Irene wakiwa wameingi kwenye ukumbi wa sherehe ya harusi yao.Jacob na Irene na wapambe wao.\Jacob na Irene wakipata chakula.Irene na mpambe wake wakipata chakula.Jacob na mpambe wake wakipata chakula.kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

GPL

MSANII JUMA KATUNDU, AMINA WAFUNGA PINGU ZA MAISHA

 Msanii Juma katundu  akiwa na nyuso ya furaha baada ya  ya kufunga pingu za maisha na amina said nguriche 'Queen emmy' ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita kimara mwisho nyumbani kwa bibi arusi bwana ni mwimbaji Wa bendi ya Msondo Ngoma na Bi Harusi ni Msanii Wa tasnia ya unenguaji nchini. Maharusi wakiwa wamepozi na mpambe wao. Amina Said Nguriche 'Queen… ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wasioona waliofunga pingu za maisha wasimulia safari yao ya mapenzi

Mpiga picha wa India alipiga picha za wapenzi ambao mapenzi hayakuangalia muonekano.

 

10 years ago

Vijimambo

MSANII JUMA KATUNDU AFUNGA PINGU ZA MAISHA NA AMINA NGURICHE 'QUEEN EMMY'


Msanii Juma katundu akiwa na nyuso ya furaha baada ya ya kufunga pingu za maisha na amina said nguriche 'Queen emmy' ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita kimara mwisho nyumbani kwa bibi arusi bwana ni mwimbaji Wa bendi ya Msondo Ngoma na bi. arusi ni Msanii Wa tasnia ya unenguaji nchini Msanii Juma katundu akiwa na nyuso ya furaha baada ya ya kufunga pingu za maisha na amina said nguriche 'Queen emmy' ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita kimara mwisho nyumbani kwa bibi arusi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mpiganaji Edwini Mjwahuzi akimbia kambi ya ukapera, afunga pingu za maisha na Bi. Hildegarda Mashauri

OTH_5326

 Mdau Edwini Mjwahuzi na Mkewe Bi. Hildegarda Mashauri wakiwa ni wenye furaha tele mara baada ya kufunga pingu za maisha na kuwa mwili mmoja, kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph, Jijini Dar es salaam jana

OTH_5201

 Mdau Edwini Mjwahuzi ambaye ni Mpiga picha wa Magazeti ya Kampuni ya Mwananchi, ameamua kuvunja kibanda cha Makapera na kukimbilia kwenye Mjengo wa wanandoa, kwa kufunga pingu za maisha na Bi. Hildegarda Mashauri kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph, Jijini Dar es salaam.

OTH_5229

  Mdau Edwini...

 

10 years ago

BBCSwahili

Messi amefunga mabao 400

Mshambulizi wa Barcelona amesajili historia kwa kufunga mabao 401 .

 

10 years ago

Bongo5

M2 The P achora tattoo mpya ya Mangwea, asema amefunga ukurasa wa kumzungumzia

Rapper M2 The P amechora tattoo mpya ya rafiki yake marehemu Albert Mangwea, na kudai kuwa tattoo hiyo ni ishara ya kufunga ukurasa wa kumzungumzia baada ya kumweka mwilini mwake. Akizungumza na Bongo5, M2 The P amesema aliwaahidi mashabiki kuwa atachora tattoo ya rafiki yake huyo ili abaki mwilini mwake milele. “Tatoo ni deni, kwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani