Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSANII JUMA KATUNDU, AMINA WAFUNGA PINGU ZA MAISHA

 Msanii Juma katundu  akiwa na nyuso ya furaha baada ya  ya kufunga pingu za maisha na amina said nguriche 'Queen emmy' ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita kimara mwisho nyumbani kwa bibi arusi bwana ni mwimbaji Wa bendi ya Msondo Ngoma na Bi Harusi ni Msanii Wa tasnia ya unenguaji nchini. Maharusi wakiwa wamepozi na mpambe wao. Amina Said Nguriche 'Queen… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MSANII JUMA KATUNDU AFUNGA PINGU ZA MAISHA NA AMINA NGURICHE 'QUEEN EMMY'


Msanii Juma katundu akiwa na nyuso ya furaha baada ya ya kufunga pingu za maisha na amina said nguriche 'Queen emmy' ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita kimara mwisho nyumbani kwa bibi arusi bwana ni mwimbaji Wa bendi ya Msondo Ngoma na bi. arusi ni Msanii Wa tasnia ya unenguaji nchini Msanii Juma katundu akiwa na nyuso ya furaha baada ya ya kufunga pingu za maisha na amina said nguriche 'Queen emmy' ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita kimara mwisho nyumbani kwa bibi arusi...

 

10 years ago

Michuzi

Juma Katundu wa Bendi ya Msondo Ngoma na Amina Said Nguriche 'Queen Emmy' wameremeta

Muimbaji mahiri wa Bendi ya Msondo Ngoma,Juma Katundu na Mai waifu wake Amina Said Nguriche 'Queen Emmy' wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kumeremeta na kuwaka waka katika ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita Kimara mwisho,Jijini Dar es Salaam. 

 

10 years ago

Vijimambo

JACOB NA IRENE WALA KIAPO CHA PINGU ZA MAISHA

Jacob na Irene wakiingia ukumbini kusherehekea harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi Novemba 29, 2014 Upper Marlbolo Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki.Jacob na Irene wakiwa wameingi kwenye ukumbi wa sherehe ya harusi yao.Jacob na Irene na wapambe wao.\Jacob na Irene wakipata chakula.Irene na mpambe wake wakipata chakula.Jacob na mpambe wake wakipata chakula.kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

9 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA MASHUHURI DEOGRATIUS KILAWE AMEFUNGA PINGU ZA MAISHA NA ANABAHATI MLAY.

 Mfanyabiashara  na mmliki wa makampuni ya excel Management, Mikono Speakers na Focus Outdoor Deogratius Kilawe Jumamosi 12th Sept amefunga  pingu za maisha (ndoa )katika kanisa la st.Peter na kisha kufanya mapokezi serena Hotel. Deogratius Kilawe amefunga Pingu za maisha na Anabahati Mlay.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wasioona waliofunga pingu za maisha wasimulia safari yao ya mapenzi

Mpiga picha wa India alipiga picha za wapenzi ambao mapenzi hayakuangalia muonekano.

 

9 years ago

Michuzi

DONATIONS FOR TREATMENT FOR AMINA ALLY JUMA (CANCER- LEUKEMIA)

Dear Friends, I great you in the name of God, Two weeks ago on 25th October while i was coming from voting with my 2 girls passing by and greeting neighbors on our street my friend younger sister stopped me and told me some very disturbing news about her Big sister.... she said 'Dada Dorah ....dada Amina anaumwa sana....!!!' and i was like anaumwa nini? expecting her to tell me she has Malaria common decease, and she responded 'sijui ana cancer ya damu' and all over sudden I felt that anger...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mpiganaji Edwini Mjwahuzi akimbia kambi ya ukapera, afunga pingu za maisha na Bi. Hildegarda Mashauri

OTH_5326

 Mdau Edwini Mjwahuzi na Mkewe Bi. Hildegarda Mashauri wakiwa ni wenye furaha tele mara baada ya kufunga pingu za maisha na kuwa mwili mmoja, kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph, Jijini Dar es salaam jana

OTH_5201

 Mdau Edwini Mjwahuzi ambaye ni Mpiga picha wa Magazeti ya Kampuni ya Mwananchi, ameamua kuvunja kibanda cha Makapera na kukimbilia kwenye Mjengo wa wanandoa, kwa kufunga pingu za maisha na Bi. Hildegarda Mashauri kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph, Jijini Dar es salaam.

OTH_5229

  Mdau Edwini...

 

10 years ago

Michuzi

EFM kuongoza Sherehe za Miaka 16 ya muziki kwa msanii Juma Nature

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kituo cha redio cha 93.7 E-Fm, Denis Ssebo (kati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya sherehe za kuadhimisha miaka 16 ya muziki ya Msanii Juma Kassim Kiroboto "Juma Nature" (kulia) yatakayoambatana ya sherehe za mwaka mmoja za Kituo cha redio cha 93.7 E-Fm.Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Kituo cha redio cha 93.7 E-Fm, Lydia MoyoMsanii Juma Kassim Kiroboto "Juma Nature" (kulia) akizungumzia sherehe hizo.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: KOMAA CONCERT kuadhimisha miaka 16 ya kukwika kwa msanii JUMA NATURE kufanyika Mei 30, 2015 Dar Live

Tamasha kubwa la kuadhimisha miaka kumi na sita ya msanii JUMA NATURE maarufu kama Kiroboto pamoja na hitimisho la sherehe za mwaka mmoja za 93.7 EFM linalofahamika kama KOMAA CONCERT kwa mara ya kwanza litafanyika rasmi jumamosi hii ya tarehe 30 mwezi mei katika ukumbi wa Dar Alive –Mbagala, kuanzia saa kumi na mbili jioni.  Tamasha hili limeandaliwa na Juma nature akishirikiana na EFM kwa lengo la kuwaburudisha Mashabiki wa juma nature na wasikiliazaji wa 93.7 EFM ikiwa ni sehemu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani