Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Suu Kyi asema uchaguzi ulikuwa wa haki

Kiongozi wa upinzani Myanmar Aung San Suu Kyi amesema uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili nchini humo haukuwa huru lakini ulikuwa wa haki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Aung Suu Kyi ataka uchaguzi wa haki

Aliyekuwa mfungwa wa kisiasa na ambaye sasa ni kiongozi wa upinzani nchini Myanmar, Aung San Suu Kyi, ametoa wito kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu ufanywe kwa njia ya haki na ukweli.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Myanmar ampongeza bi.Suu Kyi

Rais wa Myanmar Thein Sein amekipongeza chama cha upinzani cha Aung San Suu Kyi kwa kushinda uchaguzi mkuu ,msemaji wake ameiambia BBC.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jenerali Shwe 'amuunga mkono' Suu Kyi

Kiongozi wa zamani wa kijeshi wa Myanmar, Jenerali Than Shwe, 'amemuunga mkono' kinara wa upinzani Bi Aung San Suu Kyi katika mkutano wa siri

 

9 years ago

BBCSwahili

Ushindi wa chama cha Suu Kyi wathibitishwa

Chama cha upinzani nchini Myanmar kimepata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili, maafisa wa uchaguzi wamesema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Suu Kyi ahidi kuwa juu ya rais Myanmar

Kiongozi wa upinzani nchini Myanmar,Aung San Suu Kyi ameahidi kuwa ataongoza serikali ikiwa chama chake cha National League for Democracy kitashinda uchaguzi mkuu

 

9 years ago

BBCSwahili

Aung San Suu Kyi, aiga mfano wa Magufuli

Kiongozi wa upinzani wa Myanmar, Aung San Suu Kyi, leo alivaa glavu na kuokota taka katika tarafa yake kama alivyofanya rais wa Tanzania Magufuli

 

9 years ago

BBCSwahili

EU:Uchaguzi wa Guinea ulikuwa wa haki

Wachunguzi wa muungano wa Ulaya wanasema kuwa uchaguzi wa urais nchini Guinea uliofanyika siku ya jumapili ulikuwa wa haki.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI, UMOJA WA ULAYA, ASEMA NCHI IPO SALAMA, UCHAGUZI UTAKUWA HURU NA HAKI

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amefanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani, Umoja wa Ulaya (EU), Angola na Kuwait nchini, na kuwahakikishia kuwa Tanzania ipo salama, na pia katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu utakuwa wa huru na haki.
Akizungumza na mabalozi hao waliofika kwa wakati tofauti ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo, Simbachawene amesema vyombo vyake vinaendelea kufanya kazi kwa weledi katika kuimarisha usalama wa raia na mali...

 

9 years ago

Mwananchi

KESI YA MSUYA: Shahidi asema mwili ulikuwa na majeraha 26 ya risasi

Mwili wa mfanyabiashara tajiri wa Mererani aliyeuawa kwa kupigwa risasi, Erasto Msuya, ulikuwa na majeraha 26 ya risasi yaliyosababisha mfumo wa damu na upumuaji kusimama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani