Uchaguzi Guinea:Alpha Conde aongoza
Matokeo ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa urais nchini Guinea yanaonyesha kuwa rais wa sasa Alpha Conde ameshinda kura za kutosha kuzuia kuwepo duru ya pi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Alpha Conde atangazwa rais wa Guinea
Tume ya uchaguzi ya Guinea, imetangaza rais Alpha Conde mshindi wa asilimia 58 ya kura na hivyo hakutakuwa na raundi ya pili
10 years ago
BBCSwahili11 Oct
Uchaguzi Guinea ni leo
Kiongozi wa chama cha upinzani huko Guinea, Cellou Diallo, amewahimiza wafuasi wake kujitokeza kwa wingi kupiga kura leo
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
EU:Uchaguzi wa Guinea ulikuwa wa haki
Wachunguzi wa muungano wa Ulaya wanasema kuwa uchaguzi wa urais nchini Guinea uliofanyika siku ya jumapili ulikuwa wa haki.
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Upinzani wapinga matokeo ya uchaguzi Guinea
Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Guinea amejiondoa katika uchaguzi uliofanyika nchini humo akisema kuwa kulikuwa na udanganyifu mkubwa
11 years ago
BBCSwahili18 May
Guinea Bissau yafanya Uchaguzi wa pili
Taifa la Magharibi mwa afrika ,Guinea Bissau linafanya awamu ya pili ya uchaguzi wa urais hii leo.
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
Upinzani wakataa matokeo ya uchaguzi Guinea
Chama kikuu cha upinzani nchini Guinea kimesema hakitakubali matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili.
5 years ago
Michuzi
Serikali ya Guinea yasema ugonjwa wa corona hautazuia uchaguzi

Aidha wapinzani wanautazama uchaguzi huo ambao utafanyika kesho Jumapili kuwa mbinu za rais Alpha Condé ambaye anataka kubadilisha katiba ili aweze kuwania muhula wa tatu kinyume cha sheria ya sasa.
Ingawa katiba mpya ambayo inatazamiwa kuidhinishwa katika kura ya maoni ina kipengee cha...
10 years ago
GPL
DC MAKONDA AONGOZA MATEMBEZI YA KUOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kulia), akihutubia wananchi baada ya kupokea matembezi ya amani ya vyama vya siasa yaliyofanyika kuanzia eneo la Magomeni hadi viwanja vya Kinondoni Biafra Dar es Salaam leo asubuhi. Mwenyekiti wa Wilaya ya Chama cha Union For Multi Party Democratic (UMD), Abdallah Tumbo akihutubia katika mkutano huo. Katibu wa Wilaya ya Kinondoni wa Chama cha UDP, Makoye Ikoles, akizungumza… ...
10 years ago
Vijimambo
DKT. SHEIN AONGOZA UZINDUZI WA MFUKO WA UCHAGUZI MKOA WA MAGHARIBI


Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania