Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi Guinea:Alpha Conde aongoza

Matokeo ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa urais nchini Guinea yanaonyesha kuwa rais wa sasa Alpha Conde ameshinda kura za kutosha kuzuia kuwepo duru ya pi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Alpha Conde atangazwa rais wa Guinea

Tume ya uchaguzi ya Guinea, imetangaza rais Alpha Conde mshindi wa asilimia 58 ya kura na hivyo hakutakuwa na raundi ya pili

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Guinea ni leo

Kiongozi wa chama cha upinzani huko Guinea, Cellou Diallo, amewahimiza wafuasi wake kujitokeza kwa wingi kupiga kura leo

 

10 years ago

BBCSwahili

EU:Uchaguzi wa Guinea ulikuwa wa haki

Wachunguzi wa muungano wa Ulaya wanasema kuwa uchaguzi wa urais nchini Guinea uliofanyika siku ya jumapili ulikuwa wa haki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani wapinga matokeo ya uchaguzi Guinea

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Guinea amejiondoa katika uchaguzi uliofanyika nchini humo akisema kuwa kulikuwa na udanganyifu mkubwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Guinea Bissau yafanya Uchaguzi wa pili

Taifa la Magharibi mwa afrika ,Guinea Bissau linafanya awamu ya pili ya uchaguzi wa urais hii leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani wakataa matokeo ya uchaguzi Guinea

Chama kikuu cha upinzani nchini Guinea kimesema hakitakubali matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili.

 

5 years ago

Michuzi

Serikali ya Guinea yasema ugonjwa wa corona hautazuia uchaguzi

Serikali ya Guinea-Conakry imesisitiza kufanyika kwa uchaguzi wa wabunge na kura ya maoni ya katiba pamoja na kuwa wapinzani wanataka uchaguzi usitishwe kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.

Aidha wapinzani wanautazama uchaguzi huo ambao utafanyika kesho Jumapili kuwa mbinu za rais Alpha Condé ambaye anataka kubadilisha katiba ili aweze kuwania muhula wa tatu kinyume cha sheria ya sasa.

Ingawa katiba mpya ambayo inatazamiwa kuidhinishwa katika kura ya maoni ina kipengee cha...

 

10 years ago

GPL

DC MAKONDA AONGOZA MATEMBEZI YA KUOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kulia), akihutubia wananchi baada ya kupokea matembezi ya amani ya vyama vya siasa yaliyofanyika kuanzia eneo la Magomeni hadi viwanja vya Kinondoni Biafra Dar es Salaam leo asubuhi. Mwenyekiti wa Wilaya ya Chama cha Union For Multi Party Democratic (UMD), Abdallah Tumbo akihutubia katika mkutano huo. Katibu wa Wilaya ya Kinondoni wa Chama cha UDP, Makoye Ikoles, akizungumza… ...

 

10 years ago

Vijimambo

DKT. SHEIN AONGOZA UZINDUZI WA MFUKO WA UCHAGUZI MKOA WA MAGHARIBI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda jana wakati wa Uzinduzi wa mfuko wa Uchaguzi wa Mkoa wa Magharibi Kichama uliofanyika ukumbi wa Hotel Zanzibar Beach Resort.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda(wa pili kushoto) Waziri Kiongozi Mstaafu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani