Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alpha Conde atangazwa rais wa Guinea

Tume ya uchaguzi ya Guinea, imetangaza rais Alpha Conde mshindi wa asilimia 58 ya kura na hivyo hakutakuwa na raundi ya pili

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Guinea:Alpha Conde aongoza

Matokeo ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa urais nchini Guinea yanaonyesha kuwa rais wa sasa Alpha Conde ameshinda kura za kutosha kuzuia kuwepo duru ya pi

 

9 years ago

Bongo5

Dkt John Magufuli atangazwa rais Mteule wa Tanzania

Baada ya mvutano mzito wa kampeni na kisha kufanyika uchaguzi wa rais wenye upinzani mkubwa zaidi kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania, tume ya taifa ya uchaguzi, NEC Alhamis hii imemtangaza mgombea wa CCM, Dokta John Pombe Magufuli kuwa mshindi wa nafasi ya urais. Rais anayeondoka madarakani, Jakaya Kikwete akimpongeza Dokta John Magufuli mara baada […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa zamani wa Guinea akiri mashtaka US

Jenerali wa zamani wa kikosi cha Muungano wa Afrika ambaye aliwahi kuhudumu kama rais wa mpito nchini Guinea amekiri mashtaka ya kulangua maelfu ya dola Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Rais Hollande kuzuru Guinea

Rais wa Ufaransa Francois Hollande anatarajiwa kuwasili nchini Guinea , na kuwa Rais wa Kwanza kutoka Ulaya kutembelea nchi hiyo iliyoshuhudia mlipuko mbaya zaidi wa ugonjwa wa Ebola katika kanda ya Afrika Magharibi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Guinea Bissau kuchagua rais mpya

Uchaguzi wa urais na maeneo bunge unafanyika katika taifa dogo la afrika magharibi Guinea Bissau.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais wa Guinea Condé ameahirisha kura ya maoni yenye utata

Waandamanji wamekasirika baada ya kuona kuwa katiba mpya itamuwezesha rais kuwania muhula wa tatu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais wa Guinea-Bissau Cipriano Cassamá ajiuzulu baada ya 'kutishiwa kuuawa'

Guinea-Bissau, yenye historia ya mapinduzi, imekuwa na marais wawili baada ya chaguzi zilizosusiwa.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATUA MALABO, EQUTORIAL GUINEA, KUHUDHURIA MKUTANO WA 23 WA UMOJA WA AFRIKA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mji mkuu wa Equatorial Guinea wa Malabo leo Juni 24, 2014 kuhudhuria Mkutano wa Umoja wa Africa –African Union (AU).
Akiwa Malabo, Mheshimiwa Rais Kikwete pia atakuwa Mwenyekiti wa kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa AU kitakachojadili mazingira. Rais Kikwete na ujumbe wake anatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa wiki.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Waziri Mkuu wa Equatorial Guinea Mhe...

 

5 years ago

Gizchina.Com

LG W10 Alpha: the cheapest LG mobile is official

LG W10 Alpha: the cheapest LG mobile is official  Gizchina.comThe LG W10 Alpha is a new budget phone for India  gizmochinaLG W10 Alpha unveiled, an entry-level dual VoLTE phone - GSMArena.com news  GSMArena.comLG W10 Alpha budget smartphone launched: price, specifications, and more  91mobilesView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani