Alpha Conde atangazwa rais wa Guinea
Tume ya uchaguzi ya Guinea, imetangaza rais Alpha Conde mshindi wa asilimia 58 ya kura na hivyo hakutakuwa na raundi ya pili
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili17 Oct
Uchaguzi Guinea:Alpha Conde aongoza
Matokeo ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa urais nchini Guinea yanaonyesha kuwa rais wa sasa Alpha Conde ameshinda kura za kutosha kuzuia kuwepo duru ya pi
9 years ago
Bongo529 Oct
Dkt John Magufuli atangazwa rais Mteule wa Tanzania
Baada ya mvutano mzito wa kampeni na kisha kufanyika uchaguzi wa rais wenye upinzani mkubwa zaidi kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania, tume ya taifa ya uchaguzi, NEC Alhamis hii imemtangaza mgombea wa CCM, Dokta John Pombe Magufuli kuwa mshindi wa nafasi ya urais. Rais anayeondoka madarakani, Jakaya Kikwete akimpongeza Dokta John Magufuli mara baada […]
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Rais wa zamani wa Guinea akiri mashtaka US
Jenerali wa zamani wa kikosi cha Muungano wa Afrika ambaye aliwahi kuhudumu kama rais wa mpito nchini Guinea amekiri mashtaka ya kulangua maelfu ya dola Marekani.
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Ebola:Rais Hollande kuzuru Guinea
Rais wa Ufaransa Francois Hollande anatarajiwa kuwasili nchini Guinea , na kuwa Rais wa Kwanza kutoka Ulaya kutembelea nchi hiyo iliyoshuhudia mlipuko mbaya zaidi wa ugonjwa wa Ebola katika kanda ya Afrika Magharibi.
11 years ago
BBCSwahili13 Apr
Raia wa Guinea Bissau kuchagua rais mpya
Uchaguzi wa urais na maeneo bunge unafanyika katika taifa dogo la afrika magharibi Guinea Bissau.
5 years ago
BBCSwahili01 Mar
Rais wa Guinea Condé ameahirisha kura ya maoni yenye utata
Waandamanji wamekasirika baada ya kuona kuwa katiba mpya itamuwezesha rais kuwania muhula wa tatu.
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Rais wa Guinea-Bissau Cipriano Cassamá ajiuzulu baada ya 'kutishiwa kuuawa'
Guinea-Bissau, yenye historia ya mapinduzi, imekuwa na marais wawili baada ya chaguzi zilizosusiwa.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DwjkWZQ2bzs/U6nU-g91D0I/AAAAAAACkN0/iuqrzHecm8k/s72-c/ma5.jpg)
RAIS KIKWETE ATUA MALABO, EQUTORIAL GUINEA, KUHUDHURIA MKUTANO WA 23 WA UMOJA WA AFRIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DwjkWZQ2bzs/U6nU-g91D0I/AAAAAAACkN0/iuqrzHecm8k/s1600/ma5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GjtTox154TQ/U6nU_vCwP0I/AAAAAAACkOE/nr20nkCcglQ/s1600/ma6.jpg)
Akiwa Malabo, Mheshimiwa Rais Kikwete pia atakuwa Mwenyekiti wa kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa AU kitakachojadili mazingira. Rais Kikwete na ujumbe wake anatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa wiki.
![](http://4.bp.blogspot.com/--KxOenSdRao/U6nU9efYvVI/AAAAAAACkNw/VK1ZhQ1jMvY/s1600/ma2.jpg)
5 years ago
Gizchina.Com19 Feb
LG W10 Alpha: the cheapest LG mobile is official
LG W10 Alpha: the cheapest LG mobile is official Gizchina.comThe LG W10 Alpha is a new budget phone for India gizmochinaLG W10 Alpha unveiled, an entry-level dual VoLTE phone - GSMArena.com news GSMArena.comLG W10 Alpha budget smartphone launched: price, specifications, and more 91mobilesView Full coverage on Google News
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania