Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Rais Hollande kuzuru Guinea

Rais wa Ufaransa Francois Hollande anatarajiwa kuwasili nchini Guinea , na kuwa Rais wa Kwanza kutoka Ulaya kutembelea nchi hiyo iliyoshuhudia mlipuko mbaya zaidi wa ugonjwa wa Ebola katika kanda ya Afrika Magharibi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Hollande to visit Ebola-hit Guinea

French President Francois Hollande is to arrive in Guinea, the first Western leader to visit a nation hit hard by the deadly Ebola virus.

 

10 years ago

BBC

France's Hollande to visit Guinea

France's President Francois Hollande says he will travel to the West African country of Guinea, one of the worst affected by the Ebola epidemic.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UFARANSA FRANCOIS HOLLANDE JIJINI PARIS

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015 kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Francois Hollande katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015.Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo na mwenyeji wake kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA UFARANSA FRANCOIS HOLLANDE JIJINI PARIS

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015 kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Ebola: World Bank Group Provides New Financing to Help Guinea, Liberia and Sierra Leone Recover from Ebola Emergency

World Bank President Jim Yong Kim speaks during a news conference in New Delhi March 13, 2013. REUTERS/B Mathur (INDIA - Tags: BUSINESS)

New GDP Estimates Show International Support Vital to Speed Recovery

The World Bank Group (WBG) announced today that it would provide at least US$650 million during the next 12 to 18 months to help Guinea, Liberia and Sierra Leone recover from the devastating social and economic impact of the Ebola crisis and advance their longer-term development needs. The new WBG pledge brings the organization’s total financing for Ebola response and recovery efforts to date to US$1.62 billion.

The...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais wa Ujerumani kuzuru Zanzibar

330

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitembelea Bandari ya Malindi kuangalia matayarisho ya ujio wa  Rais wa shirikisho la Ujerumani Bwana Joachik Gauck.. Kushoto kwa Balozi Seif ni Mshauri wa Rais anaesimamia Uchumi, Uwekezaji na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Moh’d Ramia na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Nd. Abdulla Juma Abdulla.

Rais wa Shirikisho la Ujerumani Bwana Joachim Gauck anatarajiwa kuwasili Zanzibar kesho asubuhi kwa kufanya ziara ya kutwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Goodluck Jonathan kuzuru Chibok

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan anatarajiwa kuzuru mji ulio Kaskazini mashariki mwa nchi wa Chibok ambako wasichana zaidi ya 200 wa shule walitekwa nyara mwezi uliopita.

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, ATEMBELEA MRADI WA MAJIKO SANIFU NA KUZURU KABURI LA SOKOINE MONDULI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa karakana ya utengenezaji Majiko Sanifu Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha Prof. Robert V. Lange juu ya kusafisha na kuyafanya maji kuwa salama, wakati alipotembelea sehemu ya karakana hiyo inayotumia umeme wa nguvu za jua (Solor Power Energe) February 25-2014. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipata maelezo kutoka kwa...

 

10 years ago

BBC

Ebola 'stable' in Guinea - WHO

The deadly Ebola outbreak is now "stable" in Guinea, the country where the latest crisis began, the World Health Organization says.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani