Uchaguzi Guinea ni leo
Kiongozi wa chama cha upinzani huko Guinea, Cellou Diallo, amewahimiza wafuasi wake kujitokeza kwa wingi kupiga kura leo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
EU:Uchaguzi wa Guinea ulikuwa wa haki
Wachunguzi wa muungano wa Ulaya wanasema kuwa uchaguzi wa urais nchini Guinea uliofanyika siku ya jumapili ulikuwa wa haki.
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Upinzani wapinga matokeo ya uchaguzi Guinea
Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Guinea amejiondoa katika uchaguzi uliofanyika nchini humo akisema kuwa kulikuwa na udanganyifu mkubwa
11 years ago
BBCSwahili18 May
Guinea Bissau yafanya Uchaguzi wa pili
Taifa la Magharibi mwa afrika ,Guinea Bissau linafanya awamu ya pili ya uchaguzi wa urais hii leo.
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Upinzani wakataa matokeo ya uchaguzi Guinea
Chama kikuu cha upinzani nchini Guinea kimesema hakitakubali matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili.
9 years ago
BBCSwahili17 Oct
Uchaguzi Guinea:Alpha Conde aongoza
Matokeo ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa urais nchini Guinea yanaonyesha kuwa rais wa sasa Alpha Conde ameshinda kura za kutosha kuzuia kuwepo duru ya pi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L8hacTk3Wzk/XnWp5mvfN7I/AAAAAAALkmE/Qm-qdGkovFciHUJxQVVgow0vkgJQ7EvYwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpl109c1a5461109ak_800C450.jpg)
Serikali ya Guinea yasema ugonjwa wa corona hautazuia uchaguzi
![](https://1.bp.blogspot.com/-L8hacTk3Wzk/XnWp5mvfN7I/AAAAAAALkmE/Qm-qdGkovFciHUJxQVVgow0vkgJQ7EvYwCLcBGAsYHQ/s640/4bpl109c1a5461109ak_800C450.jpg)
Aidha wapinzani wanautazama uchaguzi huo ambao utafanyika kesho Jumapili kuwa mbinu za rais Alpha Condé ambaye anataka kubadilisha katiba ili aweze kuwania muhula wa tatu kinyume cha sheria ya sasa.
Ingawa katiba mpya ambayo inatazamiwa kuidhinishwa katika kura ya maoni ina kipengee cha...
9 years ago
Vijimambo9 years ago
VijimamboTUME YA UCHAGUZI YATOA MATOKEO YA AWAMU YA SABA(7) KWA MAJIMBO 51 YA UCHAGUZI KWA NGAZI YA URAIS LEO ASUBUHI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania