Chama cha Nieto kupata ushindi Mexico
Huku kura zikiendelea kuhesabiwa nchini Mexico chama cha mapinduzi cha rais Enrique Pena Nieto, kinaelekea kupata ushindi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dk8v49DoyAY/VNDB0_-dBoI/AAAAAAAAMT8/yXDDlh7YWCc/s72-c/MWAKASAKA%2BPHOTO.png)
CCM TABORA YAWATUNUKU VYETI MAKADA WAKE WALIOKISAIDIA CHAMA HICHO KUPATA USHINDI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dk8v49DoyAY/VNDB0_-dBoI/AAAAAAAAMT8/yXDDlh7YWCc/s1600/MWAKASAKA%2BPHOTO.png)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
BBCSwahili11 May
Chama cha ANC chapata ushindi mkubwa
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ushindi wa chama cha Suu Kyi wathibitishwa
9 years ago
StarTV23 Nov
Chama cha Mapinduzi chapata ushindi Uchaguzi Mdogo Jimbo La Ulanga
Mbunge wa jimbo la Ulanga mkoani Morogoro amepatikana mara baada ya matokeo ya uchaguzi mdogo wa ubunge uliofanyika jimboni humo kukamilika na msimamizi wa jimbo hilo kumtangaza Goodluck Mlinga kuwa ndiye mshindi.
Katika uchaguzi huo uliofanyika Novemba 22 na kushirikisha vyama vitatu vya CCM, CHADEMA na ACT Wazalendo, Goodluck Mlinga ameshinda kwa kupata kura 25902 sawa na asilimia 69.78, mgombea wa CHADEMA akipata kura 10592 sawa na asilimia 28.53 na mgombea kupitia ACT wazalendo akipata...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Fahamu jinsi unavyoweza kutumia kushindwa kwako kama kichocheo cha kupata ushindi maishani
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Kipa wa Mexico ainyima Brazil ushindi
10 years ago
MichuziUJUMBE WA CHAMA CHA FRELIMO CHA MSUMBIJI WAKUTANA NA BAADHI YA WAJUMBE WA CHAMA CHA MAPINDUZI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi27 Feb
9 years ago
StarTV26 Sep
CHAUMA chaeleza matumaini ya kupata ushindi
Zikiwa zimebaki siku 29 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi cha Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA Hashim Rungwe ametoa tathimini yake juu ya mwenendo wa kampeni pamoja na matumaini yake katika kupata ushindi.
Rugwe amesema ingawa ziko changamoto zinazojitokeza lakini kwa ujumla kampeni zinakwenda vizuri na ana matumaini makubwa ya kuingia Ikulu kutokana na watanzania kuhitaji mabadiliko.
Akiwa Singida ambao ni mkoa wa 10 katika mwendelezo wa ziara...