Toto yazidi kutesa ligi yao
Toto Africans imeanza kunusa kucheza Ligi Kuu msimu ujao baada ya kuwachapa Polisi Mara kwa bao 1-0 katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza uliopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba juzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo14 Dec
Madini yazidi kutesa ligi daraja la pili Arusha
TIMU ya soka ya Madini ya Arusha juzi iliendelea kuutumia vema uwanja wake wa nyumbani wa Mwalimu Nyerere uliopo wilayani Mbulu mkoani Manyara baada ya kuifunga Pamba ya Mwanza magoli 2-0 katika mchezo mkali wa ligi daraja la pili ngazi ya taifa.
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Kanda ya Ziwa yazidi kutesa darasa la saba
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Bodi ya ligi yathibitisha ushindi wa Majimaji, Toto
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Yametimia Toto African, Mwadui zapanda Ligi Kuu
9 years ago
Habarileo02 Jan
Ligi daraja la kwanza yazidi kunoga
LIGI daraja la kwanza inatarajiwa kuendelea tena leo kwa michezo tisa katika viwanja tofauti. Ashanti United itamenyana na Polisi Dodoma kwenye uwanja wa Karume Dar es Salaam, mechi inayotarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kutokana na timu hizo kuachana kwa mbali kwenye msimamo kwenye kundi A.
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Ligi Kuu England yazidi kupamba moto
10 years ago
VijimamboYANGA SASA WATAKA WANAJESHI WACHEZE LIGI KUU YAO
10 years ago
MichuziYanga yaishukia bodi ya Ligi,yagomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu
Uongozi wa Klabu ya Yanga umeishukia bodi ya Ligi kwa kile walichodai kuwa wamechakachua kanuni kwa kuiruhusu Timu ya Simba kumtumia mchezaji Ibrahimu Hajibu na kuitaka sheria zichukue mkondo wake huku wakigomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu kusogezwa mbele.
Akizungumza kwenye Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Msemaji wa Yanga Jerry Muro amesema Bodi ya Ligi inayumbisha soka la Tanzania kwa kupindisha sheria na kitendo walichofanya ni...
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...