Bodi ya Ligi yaionya Yanga
Bodi ya Ligi Kuu imewapiga mkwara uongozi na wanachama wa Klabu ya Yanga kutothubutu kufanya hujuma kwenye mitambo ya Kituo cha Televisheni cha Azam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PBvBvxMVroQ/VPXu6LtKz3I/AAAAAAAHHW4/glmAsdBoamc/s72-c/jerry-muro-massawe.jpg)
Yanga yaishukia bodi ya Ligi,yagomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu
![](http://1.bp.blogspot.com/-PBvBvxMVroQ/VPXu6LtKz3I/AAAAAAAHHW4/glmAsdBoamc/s1600/jerry-muro-massawe.jpg)
Uongozi wa Klabu ya Yanga umeishukia bodi ya Ligi kwa kile walichodai kuwa wamechakachua kanuni kwa kuiruhusu Timu ya Simba kumtumia mchezaji Ibrahimu Hajibu na kuitaka sheria zichukue mkondo wake huku wakigomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu kusogezwa mbele.
Akizungumza kwenye Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Msemaji wa Yanga Jerry Muro amesema Bodi ya Ligi inayumbisha soka la Tanzania kwa kupindisha sheria na kitendo walichofanya ni...
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Bodi ya Ligi yahusishwa
NA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Bodi ya Ligi kitanzini
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Mzozo wanukia TFF, Bodi ya Ligi
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Malinzi aitunishia msuli Bodi ya Ligi
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema kuwa Bodi ya Ligi haina mamlaka ya kupinga maamuzi yeyote ya kamati ya utendaji ya TFF, chombo pekee chenye uwezo wa kupinga maamuzi hayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FgEVhZFnvDo/XnC5fP2H3qI/AAAAAAALkFQ/YCMRdMRUuIsOZN-9IeADeiKNq97DC0SpwCLcBGAsYHQ/s72-c/cd91494e-7468-410f-99b0-f6dd6981f07a.jpg)
TFF, Bodi ya Ligi Kukutana kesho
![](https://1.bp.blogspot.com/-FgEVhZFnvDo/XnC5fP2H3qI/AAAAAAALkFQ/YCMRdMRUuIsOZN-9IeADeiKNq97DC0SpwCLcBGAsYHQ/s640/cd91494e-7468-410f-99b0-f6dd6981f07a.jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Bodi ya Ligi Kuu kupangua ratiba
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Azam Media yamwaga mamilioni Bodi ya Ligi
KAMPUNI ya Azam Media Ltd yenye mkataba wa haki za matangazo ya televisheni ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania, imeikabidhi Bodi ya Ligi (TPL Board) sh milioni 462, ambazo ni...
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Bodi ya ligi yathibitisha ushindi wa Majimaji, Toto