Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF, Bodi ya Ligi Kukutana kesho

TFF, Bodi ya Ligi Kukutana kesho kujadili mustakabali wa Ligi Kuu, Daraja La kwanza (FDL), daraja la Pili (SDL) na ligi za Mkoa kutokana na Mlipuko wa Virusi vya Ugonjwa wa Corona.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mzozo wanukia TFF, Bodi ya Ligi

Ni dhahiri kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Bodi ya Ligi na klabu 12 za Ligi Kuu zimeingia kwenye mzozo wa kimasilahi  kutokana na makato ya asilimia tano kwa ajili ya mfuko wa maendeleo ya soka nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF, Bodi ya Ligi zimalize mvutano kwa maridhiano

Bodi ya Ligi (TPLB), ambayo inaendesha Ligi Kuu ya Soka na Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kwa sasa iko kwenye mzozo mkubwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).

 

9 years ago

GPL

CHAMA CHA MADEREVA KUKUTANA NA JK KESHO

Naibu Katibu Mkuu na Msemaji wa Chama Cha Wafanyakazi  Madereva Tanzania (TADWU), Rashid Saleh (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  Katikati ni Mwenyekiti wa Chama hicho Shaban Mdem  na Katibu Mkuu  Abdallah Lubala (kulia). Mwenyekiti wa Chama Cha Wafanyakazi  Madereva Tanzania, Shaban Mdem naye akizungumza na wandishi wa habari. Uongozi wa Chama Cha Wafanyakazi Madereva Tanzania,...

 

5 years ago

CCM Blog

MADAKTARI KUKUTANA NA RAIS MAGUFULI KESHO

 Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kinatarajia kukutana na kuzungumza na Rais John Magufuli, ambapo miongoni mwa mambo watakayomueleza ni changamoto za ukosefu wa ajira, udhalilishaji na motisha za watumishi.
Rais wa MAT, Dkt. Elisha Osati amesema kuwa mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kesho tarehe 20 mwezi huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), utashirikisha zaidi ya watumishi 1,000 wa kada ya afya.
“Tunataka tumueleze Rais masuala mbalimbali yanayohusu sekta...

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI KUU CHADEMA KUKUTANA DAR ES SALAAM KESHO NA KESHOKUTWA


Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa kuwa Kamati Kuu ya Chama, chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, itakutana Mei 3-4, katika kikao chake cha kawaida kwa mujibu wa Katiba ya Chama.

Katika kikao hicho cha siku mbili kitakachofanyika jijini Dar es Salaam, pamoja na masuala mengine ya kitaifa kuhusu hali ya kisiasa nchini kwa ujumla na mengine mahsusi yanayohusu uendeshaji wa chama, KK itapokea taarifa, kujadili na kufanya maamuzi kuhusu;

1.     Maandalizi ya Chama kuelekea Uchaguzi...

 

10 years ago

Mtanzania

Bodi ya Ligi yahusishwa

LIGIKUUNA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi ya Ligi kitanzini

Dar es Salaam. Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kilichokutana jana kimeshindwa kuivunja bodi ya ligi badala yake wameunda kamati ya kuchunguza muundo wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi ya Ligi yaionya Yanga

Bodi ya Ligi Kuu imewapiga mkwara uongozi na wanachama wa Klabu ya Yanga kutothubutu kufanya hujuma kwenye mitambo ya Kituo cha Televisheni cha Azam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani