CHAMA CHA MADEREVA KUKUTANA NA JK KESHO
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/TADWU-1.jpg?width=650)
Naibu Katibu Mkuu na Msemaji wa Chama Cha Wafanyakazi  Madereva Tanzania (TADWU), Rashid Saleh (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  Katikati ni Mwenyekiti wa Chama hicho Shaban Mdem  na Katibu Mkuu  Abdallah Lubala (kulia). Mwenyekiti wa Chama Cha Wafanyakazi  Madereva Tanzania, Shaban Mdem naye akizungumza na wandishi wa habari. Uongozi wa Chama Cha Wafanyakazi Madereva Tanzania,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s640/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
10 years ago
MichuziMh. Mwakwembe azindua magari 54 ya Chama cha Madereva taxi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA)
10 years ago
Habarileo10 Apr
Chama cha madereva chakataa mgomo
CHAMA Cha Madereva Tanzania kimekanusha madai ya kuwepo kwa mgomo wa madereva uliopangwa kufanyika kesho.
9 years ago
MichuziCHAMA CHA MADEREVA WA SERIKALI TANZANIA CHAPATA USAJILI RASMI
10 years ago
MichuziKAMATI YA UTENDAJI YA CHAMA CHA HABARI ZA MICHEZO (TASWA) KUKUTANA AGOSTI 7 2015 JIJINI DAR
A; KIKAO KAMATI YA UTENDAJI
KAMATI ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), inatarajiwa kukutana Ijumaa Agosti 7, 2015, Dar es Salaam kujadili masuala mbalimbali yahusiyo michezo na waandishi wa habari za michezo hapa nchini.
Pamoja na mambo mengine, kikao hicho kitajadili namna bora ambayo chama kinaweza kushiriki kwa kuangalia jinsi ya kuwaunganisha wanamichezo kwa namna mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba 25...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-E/VHcc-oRU5_w/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KUFUATIA KIFO CHA Mwenyekiti wa Chama Cha Madereva Tanzania (TADWU)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-E/VHcc-oRU5_w/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Katika salamu hizo Rais Magufuli amesema taifa limempoteza mtu shupavu, mkweli, makini na aliyependa kupigania haki pale alipoamini kuwa panastahili haki hiyo na alithibitisha kwa kupigania uanzishwaji wa...
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) chapata usajili rasmi
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) wa kwanza kushoto mstari wa mbele Bw. Bahatisha Selemani Mkala akipokea Cheti cha Usajili wa Chama hicho kutoka kwa Afisa usajili Bw. Hashim Mwanga wakati wa. makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za msajili zilizopo Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Benjamin Sawe)
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) aliyeshika cheti cha usajili Bw. Bahatisha...
10 years ago
GPLCHAMA CHA MADEREVA TANZANIA CHATOA TAMKO KUHUSU MIKATABA YAO NA SERIKALI
10 years ago
GPLCHAMA CHA WAFANYAKAZI MADEREVA TANZANIA (TADWU), CHAMKABIDHI MAKONDA RASIMU YA MKATABA