Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzozo wanukia TFF, Bodi ya Ligi

Ni dhahiri kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Bodi ya Ligi na klabu 12 za Ligi Kuu zimeingia kwenye mzozo wa kimasilahi  kutokana na makato ya asilimia tano kwa ajili ya mfuko wa maendeleo ya soka nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TFF, Bodi ya Ligi Kukutana kesho

TFF, Bodi ya Ligi Kukutana kesho kujadili mustakabali wa Ligi Kuu, Daraja La kwanza (FDL), daraja la Pili (SDL) na ligi za Mkoa kutokana na Mlipuko wa Virusi vya Ugonjwa wa Corona.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF, Bodi ya Ligi zimalize mvutano kwa maridhiano

Bodi ya Ligi (TPLB), ambayo inaendesha Ligi Kuu ya Soka na Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kwa sasa iko kwenye mzozo mkubwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).

 

9 years ago

Mwananchi

Busara itumike kumaliza mzozo wa kodi ya TFF

Serikali ya Rais John Magufuli imeanza kazi kwa nguvu, ikielekeza macho yake katika ukusanyaji wa mapato kwa kuhakikisha wote wanaotakiwa kulipa kodi, wanafanya hivyo na kudhibiti matumizi ya fedha hizo za walipakodi.

 

10 years ago

Mtanzania

Bodi ya Ligi yahusishwa

LIGIKUUNA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi ya Ligi kitanzini

Dar es Salaam. Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kilichokutana jana kimeshindwa kuivunja bodi ya ligi badala yake wameunda kamati ya kuchunguza muundo wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi ya Ligi yaionya Yanga

Bodi ya Ligi Kuu imewapiga mkwara uongozi na wanachama wa Klabu ya Yanga kutothubutu kufanya hujuma kwenye mitambo ya Kituo cha Televisheni cha Azam.

 

10 years ago

Mwananchi

Bodi ya Ligi Kuu kupangua ratiba

Bodi ya Ligi nchini imesema italazimika kubadili ratiba ya Ligi Kuu nchini ili kuziwezesha timu za Bara kushiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi linalotarajiwa kuanza mapema mwakani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Malinzi aitunishia msuli Bodi ya Ligi

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema kuwa Bodi ya Ligi haina mamlaka ya kupinga maamuzi yeyote ya kamati ya utendaji ya TFF, chombo pekee chenye uwezo wa kupinga maamuzi hayo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam Media yamwaga mamilioni Bodi ya Ligi

KAMPUNI ya Azam Media Ltd yenye mkataba wa haki za matangazo ya televisheni ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania, imeikabidhi Bodi ya Ligi (TPL Board) sh milioni 462, ambazo ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani